Wewe umetafuta na kufatilia ukapata kipi?Chuo gani tanzania kinatoa optometry ngazi ya degree?
N diploma,Tanzania hakunaKCMC
Sijajua kama uliomba Makerere mbona wananafasi za foreigners pale,we ulisema wana competition ila sijajua uliomba ukakosa kama una vigezo vya ufaulu wao ila kwa optometry haina competition navyonua kwa pale kama umekidhi vigezo.Tanzania hiyo kozi ipo kwa ngazi ya diploma tu,uganda ipo Makerere tuChuo gani tanzania kinatoa optometry ngazi ya degree?
Nashukuru.Sijajua kama uliomba Makerere mbona wananafasi za foreigners pale,we ulisema wana competition ila sijajua uliomba ukakosa kama una vigezo vya ufaulu wao ila kwa optometry haina competition navyonua kwa pale kama umekidhi vigezo.Tanzania hiyo kozi ipo kwa ngazi ya diploma tu,uganda ipo Makerere tu
Acha kudanganya Mkuu, hapa Tanzania hii course kwa ngazi ya degree inatolewa KCMUCo. Na kwa ngazi ya diploma hapa Tz ni zaidi ya chuo kimoja lakini waaanzilishi wapo KCMC (Kilimanjaro college of Health and Allied sciences) wapo kule karibu na uwanjani, wamepakana na TCHRTSijajua kama uliomba Makerere mbona wananafasi za foreigners pale,we ulisema wana competition ila sijajua uliomba ukakosa kama una vigezo vya ufaulu wao ila kwa optometry haina competition navyonua kwa pale kama umekidhi vigezo.Tanzania hiyo kozi ipo kwa ngazi ya diploma tu,uganda ipo Makerere tu
Mzee wa mwongozo😂😂😂, nimeshampa mwongozo, akiwa na swali aniulize
Aya mzee,,kwa sasa sijui ila haikuwepo kwa kipind nipo TanzaniaAcha kudanganya Mkuu, hapa Tanzania hii course kwa ngazi ya degree inatolewa KCMUCo. Na kwa ngazi ya diploma hapa Tz ni zaidi ya chuo kimoja lakini waaanzilishi wapo KCMC (Kilimanjaro college of Health and Allied sciences) wapo kule karibu na uwanjani, wamepakana na TCHRT
Uliondoka lini Tz mkuuAya mzee,,kwa sasa sijui ila haikuwepo kwa kipind nipo Tanzania
Nitumie hiyo attachment ya vyuo wanavyotoa basiUliondoka lini Tz mkuu
Nitumie hiyo attachment ya vyuo wanavyotoa basi
2022Aya mzee,,kwa sasa sijui ila haikuwepo kwa kipind nipo Tanzania
Ifakara wanatoa diplomaN diploma,Tanzania hakuna
Bachellor optometry ni vyuo ganiIfakara wanatoa diploma
Bachelor nafikiri ni kcmc tu,ila sina hakikaBachellor optometry ni vyuo gani
Ngoja nimuulize mshikaji wangu wanaosoma Md kcmcBachelor nafikiri ni kcmc tu,ila sina hakika
Kwa TZ hakuna chuo kinachotoa....Bachellor optometry ni vyuo gani
Jamaa ako kasema ninasema uongo kwamba ipo nimemuuliza mshikaji wangu kcmc kasema hakuna labda jamaa atuambie ni KCMC ipi hiyoKwa TZ hakuna chuo kinachotoa....
Kcmc wameacha kutoa,
Sahv watu wanaenda abroad kusoma hio kozi.
Hio ndio update nliopata.