TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
wadau nauliza aliyewahi kupata kaz serikalin kwa koz hiyo je yupo? na je ni ofisi gan au wizara gan? mtu anawez kupata kaz kupitia kozi hiyo. asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unapata kabisa...TANESCO, TRA na kwenye mashirika mbalimbali ya umma/ya serikaliwadau nauliza aliyewahi kupata kaz serikalin kwa koz hiyo je yupo? na je ni ofisi gan au wizara gan? mtu anawez kupata kaz kupitia kozi hiyo. asante
Naomba nionge kwa upande wangu icho kitu sio kweli nimesoma iyo kozi nimemaliza tuu chuo sijakaa mtaa ata miezi 2 nikapata kazi ya assistant tutorial ilikuwa ni contract ! Kabla ata sijafikisha miezi 4 kwenye iyo kazi nikaomba kazi utumishi nikaenda Dodoma kwenye interview nikalamba asali bila ata connection pia wadau niliosoma nao wengine washalamba asali tayar Tena bila ata connection cha msingi nikujianda vzr yani ukubwa wa GPA ufanane na kitu ulichonacho kichwana pia kuomba Mungu sanaKozi za ovyo hizo dogo kupata kazi mpk uwe na connection trust me
Hizo ni coz za diplomasia.Hii sio zile za kukaa ubalozini kweli mahusiano ya kimataifa.
Kwa serikalini toka mwaka Jana mwezi wa 9 mpk Leo nimeona mashirika ambayo yalitoa post ambazo mtu wa PR in marketing au marketing in PR anaweza kuombawadau nauliza aliyewahi kupata kaz serikalin kwa koz hiyo je yupo? na je ni ofisi gan au wizara gan? mtu anawez kupata kaz kupitia kozi hiyo. asante
*assistant tutorial au sioNaomba nionge kwa upande wangu icho kitu sio kweli nimesoma iyo kozi nimemaliza tuu chuo sijakaa mtaa ata miezi 2 nikapata kazi ya assistant tutorial ilikuwa ni contract ! Kabla ata sijafikisha miezi 4 kwenye iyo kazi nikaomba kazi utumishi nikaenda Dodoma kwenye interview nikalamba asali bila ata connection pia wadau niliosoma nao wengine washalamba asali tayar Tena bila ata connection cha msingi nikujianda vzr yani ukubwa wa GPA ufanane na kitu ulichonacho kichwana pia kuomba Mungu sana
kwa hiyo akisoma Accounting akimaliza tu anapata ajira?Jikaze usome accounting kuliko huo upuuzi
kozi ipi ambayo akimaliza tu anapata ajira? acheni kudanganya watu.Kozi za ovyo hizo dogo kupata kazi mpk uwe na connection trust me
Ubalozi mara nyingi waliosoma International Relations au Diplomacy.Hii sio zile za kukaa ubalozini kweli mahusiano ya kimataifa.