Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Just for learning!
Japo mie ni nazi iliyoivia mtini, ikachumwa na kuuzwa sokoni na sasa mama ntilie anaikodolea macho, napenda kujifunza kitu kuhusu staff cardet na zaidi:
Kwa Tz kijana huanza na JKT kisha akichaguliwa huingia kwa mafunzo ya JWTZ ambapo hufunzwa zaidi mbinu za kimapambano na kuilinda nchi kwa uzalendo. Hapa kijana akimaliza hutoka bila cheo na hutumika ktk division aliyopangiwa either infantry, anga, navy n.k!
Enzi za nyuma wengine waliingia JW kwa vipaji vyao na kupata vyeo vikubwa mf Captain Komba alijoin due to kipaji cha kuimba (I stand to be corrected)
Please, kuna anayeweza kunipanulia uelewa kdg ni vigezo vp hutumika kumchagua mtu akasomee staff cardet? Je, ni criteria gani huzingatiwa ili kijana aende further courses mpaka ukomandoo?
Je, wanawake huweza kufikia level ya komandoo hasa hapa Tz?
NB: wanachuo, zile swaga za ooh, ukiwa na degree unafikia sijui nyota moja jeshini futeni. Kule unastart afresh unless umeajiliwa as professional. Stop cheating one another! Vyeo sio karanga au njugu mnazogawiana kwenye kahawa!
Just for learning!
Karibu.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Japo mie ni nazi iliyoivia mtini, ikachumwa na kuuzwa sokoni na sasa mama ntilie anaikodolea macho, napenda kujifunza kitu kuhusu staff cardet na zaidi:
Kwa Tz kijana huanza na JKT kisha akichaguliwa huingia kwa mafunzo ya JWTZ ambapo hufunzwa zaidi mbinu za kimapambano na kuilinda nchi kwa uzalendo. Hapa kijana akimaliza hutoka bila cheo na hutumika ktk division aliyopangiwa either infantry, anga, navy n.k!
Enzi za nyuma wengine waliingia JW kwa vipaji vyao na kupata vyeo vikubwa mf Captain Komba alijoin due to kipaji cha kuimba (I stand to be corrected)
Please, kuna anayeweza kunipanulia uelewa kdg ni vigezo vp hutumika kumchagua mtu akasomee staff cardet? Je, ni criteria gani huzingatiwa ili kijana aende further courses mpaka ukomandoo?
Je, wanawake huweza kufikia level ya komandoo hasa hapa Tz?
NB: wanachuo, zile swaga za ooh, ukiwa na degree unafikia sijui nyota moja jeshini futeni. Kule unastart afresh unless umeajiliwa as professional. Stop cheating one another! Vyeo sio karanga au njugu mnazogawiana kwenye kahawa!
Just for learning!
Karibu.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums