Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
- Thread starter
- #21
Ipo CoET udsmhivi kuna kozi ya Water resources IPO chuo cha maji hapo vip wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo CoET udsmhivi kuna kozi ya Water resources IPO chuo cha maji hapo vip wakuu
Hiyo irrigation kuna bro angu amegraduate pale SUA since 2018 ila naona hana progress zozote katika kutafuta ajira.Kwa tanzania hizi ndio kozi mama za uhandisi..
1. Civil engineering
2. Mechanical engineering
3. Electrical
Hizo ndizo kozi pekee naweza mshauri mtoto wa mkulima asome.
PS: Pamoja na hizo kuna hizi..
4. Architecture
5. Irrigation ya SUA.
6. Environmental engineering..
Hii sio inaitwa "water resources and irrigation engineering"?hivi kuna kozi ya Water resources IPO chuo cha maji hapo vip wakuu
Ndio nafikiri ni hio, vip ipoje mkuuHii sio inaitwa "water resources and irrigation engineering"?
Shukrani kwa taarifaIpo CoET udsm
Hii inatolewa hata pale SUA , sijajua upande wa ajira ila kaka yangu ame-graduate 2018, naona yupo anapiga deals out of his profession... Nadhan ajira hazipo straight kihivyo but alipiga GPA nzuri tu, 4.1Ndio nafikiri ni hio, vip ipoje mkuu
Yani first intake ya irrigation kutoka SUA ame graduate 2018? Unajua hii kozi imeanza lini na first intake wamemaliza mwaka gani?Hiyo irrigation kuna bro angu amegraduate pale SUA since 2018 ila naona hana progress zozote katika kutafuta ajira.
Kuhusu GPA , iko vizurii..
( walikuwa first intake kwa course hiyo pale SUA)
Unless uwe umesoma diploma ila kama umemaliza form6 sikushauri ukaisome hii kozi kama unataka irrigation au water supply na umesoma form6 nenda SUA.hivi kuna kozi ya Water resources IPO chuo cha maji hapo vip wakuu
CoET hawana kozi ya maji.. walikua na kozi ya civil and water resources miaka hiyo ila kwa sasa sidhani kama wanayo tena.Ipo CoET udsm
Chukua like iyoo..Kwa tanzania hizi ndio kozi mama za uhandisi..
1. Civil engineering
2. Mechanical engineering
3. Electrical
Hizo ndizo kozi pekee naweza mshauri mtoto wa mkulima asome.
PS: Pamoja na hizo kuna hizi..
4. Architecture
5. Irrigation ya SUA.
6. Environmental engineering..
Ipo Engineering geology, four years UDSM (SoMG).Hivi geology nayo ni engineering au ni Science mkuu.
sasa hiyo sio nzuri, soma sayansi ya geology.Ipo Engineering geology, four years UDSM (SoMG).
Kwa vyeti vipi sasa wakati alikua bado yuko chuo?Industrial engineering. kuna rafiki yangu aliajiriwa akiwa mwaka wa pili chuo
unapoandika mtiririko wa engineering,mechanical engineering ndo iwe inakaa namba moja ndo hub ya engineering field1.Civil,
2.Chemical ,
3.Mechanical,
4.Industrial,
5. Electrical,
5.Agriculture,
6.Geology
7.Computer,
8.Telecommunication,
9.Electronics,
10.Oil and gas.
Hiyo ndio ranki ya top ten Good Engineering courses kwa sasa hapa Tanzania.
Ingawa zina mchango katika kupata kazi lakini mara nyingi kupata kazi ni bahati tu ya mtu, pia kujituma kipindi cha Field inasaidia sana.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Mech haiwezi kuwa msingi wa ELE. Kwa kifupi kuna kozi 3, civil, electrical na mech.unapoandika mtiririko wa engineering,mechanical engineering ndo iwe inakaa namba moja ndo hub ya engineering field
I'm right bro labda wewe huijui mechanical engineeringSio kweli. Mech haiwezi kuwa msingi wa ELE. Kwa kifupi kuna kozi 3, civil, electrical na mech.
Hizi kwa pamoja ndio zinaunda msingi wa kozi nyingine za engineering. Na sio useme mech au civil au Electrical ndio hub ya engineering utakua wrong.