Kozi yenye kuuzika

Hiyo irrigation kuna bro angu amegraduate pale SUA since 2018 ila naona hana progress zozote katika kutafuta ajira.
Kuhusu GPA , iko vizurii..
( walikuwa first intake kwa course hiyo pale SUA)
 
Hiyo irrigation kuna bro angu amegraduate pale SUA since 2018 ila naona hana progress zozote katika kutafuta ajira.
Kuhusu GPA , iko vizurii..
( walikuwa first intake kwa course hiyo pale SUA)
Yani first intake ya irrigation kutoka SUA ame graduate 2018? Unajua hii kozi imeanza lini na first intake wamemaliza mwaka gani?
 
unapoandika mtiririko wa engineering,mechanical engineering ndo iwe inakaa namba moja ndo hub ya engineering field
 
unapoandika mtiririko wa engineering,mechanical engineering ndo iwe inakaa namba moja ndo hub ya engineering field
Sio kweli. Mech haiwezi kuwa msingi wa ELE. Kwa kifupi kuna kozi 3, civil, electrical na mech.

Hizi kwa pamoja ndio zinaunda msingi wa kozi nyingine za engineering. Na sio useme mech au civil au Electrical ndio hub ya engineering utakua wrong.
 
Sio kweli. Mech haiwezi kuwa msingi wa ELE. Kwa kifupi kuna kozi 3, civil, electrical na mech.

Hizi kwa pamoja ndio zinaunda msingi wa kozi nyingine za engineering. Na sio useme mech au civil au Electrical ndio hub ya engineering utakua wrong.
I'm right bro labda wewe huijui mechanical engineering
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…