Kozi za kusoma Chuo Kikuu kwa aliyesoma HGL

till hustling

Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
36
Reaction score
12
Mimi ni mwanafunzi wa form six ninayesoma mchepuo wa HGL.

Naomba kuuliza kuhusu kozi nzuri za kusoma nikifika Chuo Kikuu kulingana na masomo ambayo ninasoma kidato cha tano na cha sita (advanced level).

Ahsanteni wakuu!
 
We unaanza kuulizia faculty wakati hata mtihani haujafanya..! Kuchagua course ya kusoma inategemea na matokeo yako.
 
Ukifaulu nenda kasome Health service management, Mzumbe University.. Hautajuta dogo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Soma Sheria(llb),hata hiyo iliyotajwa health Services management,kama ulifanya myema hesabu O level wawezafanya Uhasibu hata ugavi,all the best!
 
Soma Sheria(llb),hata hiyo iliyotajwa health Services management,kama ulifanya myema hesabu O level wawezafanya Uhasibu hata ugavi,all the best!
Hahah hapo kwenye uhasibu na ugavi labda unamaanisha akasomee ugani mkuu
 
Usichague ualimu dogo professional ya kikuda walionitangulia nimewazidi maendeleo mpaka sasa!
 
We unaanza kuulizia faculty wakati hata mtihani haujafanya..! Kuchagua course ya kusoma inategemea na matokeo yako.

Najua myself nmeulza ili kuwa na plan a an b kwa nyny wadau wa elimu so no matter nmemalza au cjamalza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…