matabwamatabwa
Member
- Jan 30, 2015
- 6
- 4
Kozi za urubani zipo hv.Kuna PPL(PRIVATE PILOT LICENCE), hii unasomea leseni ya juendesha ndege za private, hii haina dili sana ila ndo ya kuanzia.Kwa hiyo pale Tropical air walikuwa wanatoza dollar 17000.CPL(COMMERCIAL PILOT LICENCE), hii ndo yenye dili, ni leseni ya kibiashara, yani kama class C kwenye magari, wengi wanasomea South Africa baada ya kupata PPL, andaa milioni 50.Kazi kwako kaka.Huu ndo ufahamu wangu
Kozi za urubani zipo hv. Kuna PPL(PRIVATE PILOT LICENCE), hii unasomea leseni ya kuendesha ndege za private, hii haina dili sana ila ndo ya kuanzia. Kwa hiyo pale Tropical air walikuwa wanatoza dollar 17000.
CPL(COMMERCIAL PILOT LICENCE), hii ndo yenye dili, ni leseni ya kibiashara, yani kama class C kwenye magari, wengi wanasomea South Africa baada ya kupata PPL, andaa milioni 50.
Kazi kwako kaka. Huu ndo ufahamu wangu