matabwamatabwa
Member
- Jan 30, 2015
- 6
- 4
Naomba mwenye ufahamu wa gharama za kozi ya urubani zinazotolewa pale United Tanzania Aeronautics College (www.utac.ac.tz) - Airport Dar es salaam .
Katika matangazo yaliyo kwenye website hawajaainisha gharama za masomo hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani evining classes, ili nikachukue form Tsh 50,000 mara moja kabla sijachelewa. Mwenye kufahamu naomba anijulishe.
Katika matangazo yaliyo kwenye website hawajaainisha gharama za masomo hayo.Pia je kuna vipindi vya jioni yaani evining classes, ili nikachukue form Tsh 50,000 mara moja kabla sijachelewa. Mwenye kufahamu naomba anijulishe.