Cobrahypnosis
JF-Expert Member
- Jul 28, 2021
- 362
- 676
Habarini wadau.
Nimeombwa ushauri na mdau wangu, anayo taasisi ya elimu inayotoa kozi mbili. ameniomba ushauri kua katika taasisi yake anataka kuongeza kozi za kilimo na mifugo, na kozi nyingine za kawaida.
Je, kwa soko la sasa au kibiashala ni kozi zipi zene soko kwa sasa kwa ngazi ya certificate na diploma
Nimeombwa ushauri na mdau wangu, anayo taasisi ya elimu inayotoa kozi mbili. ameniomba ushauri kua katika taasisi yake anataka kuongeza kozi za kilimo na mifugo, na kozi nyingine za kawaida.
Je, kwa soko la sasa au kibiashala ni kozi zipi zene soko kwa sasa kwa ngazi ya certificate na diploma