Kozi zinazohusisha matumizi ya kompyuta..

asante sana mkuu..
napata sana nguvu kwa ushauri wa wana jf..
nawashukuru sana wakuu wangu.. na ndo maana wahenga walisema penye wazee hapaharibik neno.. nakubali sana..
 
ushauri wa wana jf naupenda sana maana mnanipa moyo sana.. naupata ujasiri wa kusoma hiyo cozi kweli kweli... nawapenda sa wana jf.. Mungu awe nanyi daima na milele..
nasema hiv kwa sababu cozi zote takriban kozi sita nilizochagua nilizichagua baada ya kupata ushauri humu na kuchanganua.. huku mtaani kila mtu anasema nimefanya chaguo jema kwenye cozi..
hii ya business information technology na agribusines nazipenda..
 
asante sana mkuu..
em niambie nikasome kipande gani kwa kipindi hichi kifupi ili nipate mwanga hata kidogo mkuu
kasome computer,data and programming fundamental ila hakikisha una computer yako. alaf tafuta PDF za beginner ucjaribu za advance au professional utaiona IT chungu
 
kama utaenda kusoma na business with ICT kubali kukomaa na upande mmoja kama ICT tu au business tu cos najua mziki wa ICT uwe deep ni mzito
 
kasome computer,data and programming fundamental ila hakikisha una computer yako. alaf tafuta PDF za beginner ucjaribu za advance au professional utaiona IT chungu
asante mkuu..
nimekupata safi
 
asante sana mkuu..
napenda sana bachelor of sciences in business information technology .. ila sasa nilikua najiuliza kuhusu hilo swala.. ila kukomaa nitakomaa mkuu
Kila la kheri Mkuu
 
Amini kwamba hao wa Feza wanakuzidi mambo mengi.
Shule za kata watoto wanafaulu lakini kiusema ukweli uelewa wa Mambo mengi wapo nyuma.Hao watoto wa Feza wapo mbele Sana hata uwazidi matokeo lkn kiuelewa wapo mbele aiseee
 
sikatai mkuu.. ila nime..quote hapo kuhusu uzembe.. ndo nakuambia mimi pia c mzembe kiivo mkuu..
ila all in all ntajikaza tu.. hakuna kinachoshindikana chini ya jua
Hukuwa na haja ya kuwamention FEZA
 
Mkuu kwa sasa kila course inahitaji computer knowledge hata kama unasimea ualimu wa chekechea unatakiwa uwe expert kidogo wa komputa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…