asante sana mkuu..A level nilisoma HGL chuo nikasoma bachelor of information management. Mwanzoni nilikua na wasiwasi kama wako lakini kiukweli sikukutana na maajabu yoyote hadi namaliza. Business information tech ilikua moja ya modules nilizosoma, kila la kheri mkuu umechagua course sahihi kabisa.
ushauri wa wana jf naupenda sana maana mnanipa moyo sana.. naupata ujasiri wa kusoma hiyo cozi kweli kweli... nawapenda sa wana jf.. Mungu awe nanyi daima na milele..A level nilisoma HGL chuo nikasoma bachelor of information management. Mwanzoni nilikua na wasiwasi kama wako lakini kiukweli sikukutana na maajabu yoyote hadi namaliza. Business information tech ilikua moja ya modules nilizosoma, kila la kheri mkuu umechagua course sahihi kabisa.
kasome computer,data and programming fundamental ila hakikisha una computer yako. alaf tafuta PDF za beginner ucjaribu za advance au professional utaiona IT chunguasante sana mkuu..
em niambie nikasome kipande gani kwa kipindi hichi kifupi ili nipate mwanga hata kidogo mkuu
Kila la kheri Mkuuasante sana mkuu..
napenda sana bachelor of sciences in business information technology .. ila sasa nilikua najiuliza kuhusu hilo swala.. ila kukomaa nitakomaa mkuu
Sio form one, tokea walivyopata akili under five years of ageNaam maana hao Feza Hiyo Computer yenyew wame anza kuzitumia toka form One
Shule za kata watoto wanafaulu lakini kiusema ukweli uelewa wa Mambo mengi wapo nyuma.Hao watoto wa Feza wapo mbele Sana hata uwazidi matokeo lkn kiuelewa wapo mbele aiseeeAmini kwamba hao wa Feza wanakuzidi mambo mengi.
Hukuwa na haja ya kuwamention FEZAsikatai mkuu.. ila nime..quote hapo kuhusu uzembe.. ndo nakuambia mimi pia c mzembe kiivo mkuu..
ila all in all ntajikaza tu.. hakuna kinachoshindikana chini ya jua
Mkuu kwa sasa kila course inahitaji computer knowledge hata kama unasimea ualimu wa chekechea unatakiwa uwe expert kidogo wa komputawakuu Habarini za saiz..
tumsifu yesu kristo..
Bwana yesu asifiwe...
salam alihekum...
wakuu wangu kuna swala dogo sana linanisumbua akili ... naombeni mnieleweshe ..
ivi kozi zote zinazohusisha matumizi ya kompyuta kv.. it, bachelor of sciences information technology.. computer sciences, ict.. etc.
swali.. hizo cozi kwa watu ambao hawana background ya computer for example.. mtu kasoma pcm, pgm, egm. na hge wanapoingia chuoni wanapigishwa introduction to computer in the first semister? au lecture ana assume unajua na kuanza na complicated concept moja kwa moja??
nimeuliza kwa sababu kozi zangu nilizochagua zote ni computer tupu na mimi nimesoma egm sina concept ya computer .. hapa inakuaje??
inawezekana mtu wa advance asiyekuwa na background ya computer aje alingane na aliyetoka diploma aliyeiaomea miaka mitatu??
kama haiwezekani.. kwa nini hizi cozi wanaruhusu wasiokuwa na computer background to stakehold them??
naombeni ushauri wakuu.. natanguliza shukurani