KQ CEO ASHAONGEA, WENYE POVU KUJENI MZIMWAGE HUKU

Unaongea kitoto sana wewe pimbi; hujui kwamba jukwaa hili ni la watu makini na matured? Shaaaa, shame on you!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda public place yeyote tanzania kaingie chooni ndiyo utawajua watanzania, nadhani pimbi ni wewe, nenda airport, nenda kariakoo sokoni , nenda feri , halafu nenda kenya popote
 
You seem you are out of your senses, umesema first floor in watu ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are even embarrassing your fellow country men.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za mkopo! Again
 
iv kwann kuna watu wana penda league sana ..siku moja pale Nairobi wakati Magu alipotimba aliwaambia watu ya kuwa wao wanawasiliana sanaaa ktk simu na viongozi wetu wana share idears kwa hiyo KQ ku opt kununua A220 sio kitu kibaya mbona hata DELTA AIR wazo A220 za kutosha, Korean air wanazo za kutosha, egypt air ndio waafrika wakwanza ku order A220 nyingi zaidi ya 30, ATCL ndio operator wa kwanza Africa kurusha A220 Africa ....ni ndege nzuri ndio maana huyo CEO wa KQ waliona bora wajifunze kwa kuruka nayo toka JKIA kuja JNIA mpaka KIA ...tena A220 za DELTA AIR zina PTV zinavutia sanaa ..kwa hili kwa kweli KQ mnastahili pongezi kujifunza ni jambo zuri
 
Duh
Aisee hawa wakenya uwivu wao kwa nchi yetu Tanzania unawamaliza kabisa walahi
Ni kweli hawa ndugu zetu wana WIVU alafu hawapendi wenzao wakipiga hatua ya maendeleo... LEO nilikuwa natazama citizen tv kuna mbunge sijui wa count gani huko ana MIND deal la uganda na kenya deal la sukari walilo sign juzi pale Mombasa ..wanadai wazalishaji wa ndani watapata tabu ..mara itakuwaje mayai yatoke Uganda..ila wao wanapenda kuwatupia wenzao takataka zao kiukweli hawa wa 254 wana WIVU wa kipuuzi nazani ndio maana M7 aliwanyimilia mbali lile bomba...


ndege iraruka huko tangia baada ya iyo tarehe 28 ambapo ilionekana huko JKIA mpaka leo tarehe 31 dege linapiga masafa
 
Hilo ndio tatizo lao kubwa, kila kitu wanataka kuonekana wao wako better, hicho ndicho kinachowarudisha nyuma, hawakubaliani na ukweli kwamba hakuna nchi au mtu ambaye ni mkamilifu duniani.

Huyo Mtendaji Mkuu wa KQ sio Mkenya ndio amekubali kulipa ATCL ili wakajifunze, lakini ingekuwa ni Mkenya, angeanza kuziponda na kuzitoa mapungufu hizo ndege zetu na kusifia kampuni la Boeing, just kuonyesha kwamba Tanzania is wrong kununua Airbus A200.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hawa kweli ni mazwazwa and iam sure kama ilo shirika lingekuwa haliendeshwi na wazungu ILO SHIRIKA LINGEKUWA LISHAKUFAAA SIKU NYINGIII MNOOOO nafikiri baada ya 1977 walishindwa kulingoza ndio wakaamua kuwakodisha wadhungu JINA la KENYA AIRWAYS ..ss hapo lazima tuwape kongole timu yetu ya watalaam waliopendekeza kununua A220 CS300 ...nafikiri ndio maana mzee mbaba M7 akaamua na yy atungue bombadier kwanza kama kifungulia shirika ...ndugu zetu wa 254 mliopo humu JF tunajua sio WOTE lkn punguzeni WIVU ss TUNAWAPENDA BILA KUJALI mapungufu yao sababu tunawajua ......
 
Poa sana, ila wasikubali kununua ile ya bongo ambayo naskia wamechora twiga kwa mkaa ili kubana matumizi.

Maneno mengi sana ila ipo siku mtaikubali Tz tu. Mliongea sana sasa mlikuja kukodisha ili mpate uhakika maana mlisema hiyo ni ndege hakuna versions nyingi so haina uhakika, wachache walioitumia appreciated na baadhi ya watu wenu wameipanda na ndio maana viongozi wenu wameikodisha wakaitest wajiridhishe na wameona inafaa sasa wataziagiza
 

Nakumbuka niliona habari sehemu rais wenu akisifia eti amepata darasa kutoka kwa Kagame jinsi ya kununua ndege, tatizo mlifuata ushauri bila kuandaa mikakati, mumeishia kuwa na mindege mumezipaki msijue kwa kuzipeleka na ndio maana mnaanza kutusumbua tununue ilhali sisi mipango yetu haikua tununue madude mumechora twiga kwa mkaa.
Naskia bado limepaki JKIA, mje mlichukue hatuna muda nalo, low standard.
 
Nenda public place yeyote tanzania kaingie chooni ndiyo utawajua watanzania, nadhani pimbi ni wewe, nenda airport, nenda kariakoo sokoni , nenda feri , halafu nenda kenya popote
wenzako ukweli kwao ni mwiko....wachezea ccm wewe...kila kitu ni ndio
 
Acha kuropokwa soma article. Shida yenyu in kuchukia kusoma.
You are kidding!! We have already signed a good deal with Airbus for our Airbus 220 to be used once needed by Airbus for marketing purposes around Africa!! Be informed you nyang'au!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela ya kununua chakula hamna mtaweza kununua ndege? Kanunueni mahindi mpeleke Turkana hatuwasaidii mahindi mengine tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…