hahahaha na mm ndio nimeleta UZI hapa usikie ya kuwa pilot aliwasha engine mara 50 + utazan injin ya boti hahaha
SOURCE : https://nairobinews.nation.co.ke/ed...ySFiPDxQFf8i_1Ghk--ZTquUPzTA3dzfWkGjjvtknwdcw
View attachment 1071235
hahahahaha Pilot alijaribu kuiwasha enjini mara 50 lkn kitu kiligoma waka,..... kusema ni kila siku enjini za ndege za KQ zina pata MASHIDAAA ni vile zimechakaa au nn
bro, usijisumbue Sunday na hawa vilaza. wanatumia internet ya ofisini kwandika upuuzi hapa jf.Kichwa kilifaa kiwe; "ATCL kusafirisha abiria Mumbai"
Bado wamekwama chattle joto la jiwe na usisahau signature yako ya failed state ππ
Hahaha ATCL bado hawaja rejeshewa uachama wa IATA so bado kuanza safari za internationalKichwa kilifaa kiwe; "ATCL kusafirisha abiria Mumbai"
Bado wamekwama chattle joto la jiwe na usisahau signature yako ya failed state ππ