MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
hahahaha na mm ndio nimeleta UZI hapa usikie ya kuwa pilot aliwasha engine mara 50 + utazan injin ya boti hahaha
Protocols za take-off hueleza kwamba kuna mengi ya kucheck kitokea engine imegoma, sio kuwasha washa tu.