KQ Passangers stranded in kisumu for 6 hours after engine failure

KQ Passangers stranded in kisumu for 6 hours after engine failure

hahahaha na mm ndio nimeleta UZI hapa usikie ya kuwa pilot aliwasha engine mara 50 + utazan injin ya boti hahaha

Protocols za take-off hueleza kwamba kuna mengi ya kucheck kitokea engine imegoma, sio kuwasha washa tu.
 
Vipi injini zao sio push to start, konzi moja tu injini imewaka?
Inabidi tuwakodishie Madee yetu unajua sie donor country Bana [emoji110][emoji851][emoji851][emoji3063][emoji23][emoji1787][emoji16]
SOURCE : https://nairobinews.nation.co.ke/ed...ySFiPDxQFf8i_1Ghk--ZTquUPzTA3dzfWkGjjvtknwdcw
View attachment 1071235

hahahahaha Pilot alijaribu kuiwasha enjini mara 50 lkn kitu kiligoma waka,..... kusema ni kila siku enjini za ndege za KQ zina pata MASHIDAAA ni vile zimechakaa au nn

Sent using Nokia 6
 
Vipi injini zao sio push to start, konzi moja tu injini imewaka?
Inabidi tuwakodishie Madee yetu unajua sie donor country Bana [emoji110][emoji851][emoji851][emoji3063][emoji23][emoji1787][emoji16]

Sent using Nokia 6
hahahahahaha eti push to start
 
Kichwa kilifaa kiwe; "ATCL kusafirisha abiria Mumbai"
Bado wamekwama chattle joto la jiwe na usisahau signature yako ya failed state 😀😀
 
Back
Top Bottom