KQ sasa inapiga Route za daladala - wanasema hazina pesa za kukidhi mishahara na madeni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382][emoji382][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna mtu anaweza kuandika ujinga kuzidi huu , nina zawadi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Case zote wameshinda na ndege zilirudi zikaendelea na safari zake , na huku ndege inayotoka nje ni moja au mbili , hizi nyingine zinafanya kazi hapa hapa ndani , madhara sio makubwa sana hapa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

No wonder unamuabudu Magufuli.
 
Case zote wameshinda na ndege zilirudi zikaendelea na safari zake , na huku ndege inayotoka nje ni moja au mbili , hizi nyingine zinafanya kazi hapa hapa ndani , madhara sio makubwa sana hapa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona zilikatiza safari za nje baada ya viuno kukatwa hadi zikateguka?
 
We utopolo uko dunia ya wapi ? Hakuna ndege inayotoka au kuingia Tz, hata South Africa wenyewe ndege zao zote wamepack hazifanyi kazi kwasasa

ATCL ilisimama wakati wa Xenophobia peke yake , wakati huo huo trip za china , Mumbai , entebe zilikua zinaendelea , na baada ya Xenophobia safari ziliendelea hadi majuzi safari zilivyo sitishwa kwasababu ya COVID
ATCL bado inaenda South Africa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu tu umekujaaa

Inhia online booking za ATCL uone kama ndege za ATCL hazijai au hazina abiria .Inaweza kuona ndege zinazoruka sehemu mbalimbali Tanzania kila siku kufikia mtandao wa ATCL
 
Zama online jaribu fanya booking ndege za kesho , au hata jumapili

mna ujinga mwingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu tu umekujaaa

Inhia online booking za ATCL uone kama ndege za ATCL hazijai au hazina abiria .Inaweza kuona ndege zinazoruka sehemu mbalimbali Tanzania kila siku kufikia mtandao wa ATCL


Hahahaha.
Usijifanye hujui zimejazwa na government officials kwa sababu ya directive za dikteta wenu.

Pia, Dreamliner sio ndege ya route za ndani. It will never be economical.
Dreamliner inahitaji wasafiri wa kulipa nauri kubwa.
 
Zama online jaribu fanya booking ndege za kesho , au hata jumapili

mna ujinga mwingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Ficha kichwa mchangani, lakini unajua umaskini ulivyojaa Tanzania.
Mshahara wa mtanzania wa kawaida wa mwaka mzima hauwezi lipa nauri ya kufika London au New York.

Dreamliner zenu, ambazo zilijengwa kwenda route za mbali ili ziwe economical, zinatumika route za ndani kwa amri ya dikteta mkuu ili kuwaficha macho maskini wapiga kura.

Zimejaa watumishi wa serikali, wanaolipiwa nauri na serikali.
Ni pesa ya serikali tu inazungushwa kwenye taasisi za serikali.
 
Serikali imeajiri watu chini ya milion moja we kiazi , Tanzania ina watu zaid ya mil 55 .. kwa kifupi hatutegemei mishahara kuishi , chini ya 10% tu ndio waajiriwa , the rest ni wafanya biashara au wakulima ,

Hakuna shirika lolote la ndege linalofanya safari kwenye sehemu yeyote kwasasa , fanya booking online kiaz wewe uje na majibu hapa , sii lazima ATCL , Hata precision air jaribu uone kama utapata nafasi ndani ya wiki hii , mnakaa mna hadithiana ujinga ujinga ujinga , zama hapo ujaribu kufanya booking kiaz ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Maliza huu mjadala kwa kuleta audited reports za ATCL.
Bila hizo, kojoa ulale.
 
Maliza huu mjadala kwa kuleta audited reports za ATCL.
Bila hizo, kojoa ulale.
Acha upopoma , umesema ndege hatupandi, nenda kwenye shirika lolote la ndege hapa nyumbani , jaribu fanya booking , alafu urudishe kalio hapa tuendelee mbele

Report ya CAG kuhusu ATCL ipo humu humu, mnakutanaga na watu wepesi hawajui kujenga wala kutetea hoja mnajiona mwajua sana sio ?? zama mtandaoni hapo leta screenshot

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kojoa ulale. No flights.
Na zile ziko, very expensive. How can a poor Tanzanian afford to pay Ksh 17,000 ($170) for a domestic flight, one way, economy? LOL!
The average monthly salary of a Tanzanian is $83. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…