KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine wakinunua moja inakua shangwe na sherehe nchi yote, sisi hapa tunaagiza kumi kwa mpigo.
Achana na bangi baridi.Wana own only 3 planes,nyingine zote wana lease.
Sent from my iPhone using JamiiForums
" ...KQ currently has a fleet of 40 planes, being a mixture of Boeing jets and the Brazilian-made Embraer 190. The aircraft comprise 20 that the national carrier fully owns and another 20 leased from other companies.Nyie mna own only 3 planes,nyingine zote m-me lease.
Shirika lenu ni kama Burundi airways tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sema mnakodisha kumi kwa mpigo mnunue ndege kwa faida ipi mliyotengeneza miaka mitano nyuma .Kuna wengine wakinunua moja inakua shangwe na sherehe nchi yote, sisi hapa tunaagiza kumi kwa mpigo.
Sema mnakodisha kumi kwa mpigo mnunue ndege kwa faida ipi mliyotengeneza miaka mitano nyuma .
Wakenya stupid sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watani wetu hutawezana nao ikifika kwenye umbea na longolongo bila facts. Walifungua nyuzi nyingi sana humu wakisema KQ ina ndege tatu tu. Ungedhani kwamba huo umbea kuhusu KQ ndio ungeongeza idadi ya ndege ambazo ATCL inamiliki. Kwenye hizo nyuzi zote ambazo walifungua humu sikutupia hata comment moja. Kwasababu sio jambo rahisi kubishana na mtu aliyebobea kwenye umbea, ni kibarua kigumu nakuambia. Kawaida yao ni kumeza fake news zozote ambazo zinaibuka Kenya, bila ya kujishughulisha kufatilia kwa undani wajue uhalisia wa kinachosemwa. Yaani ni ujuaji fulani hivi kuhusu vitu ambavyo hawavielewi hata kidogo. Huo umbea wote kuhusu umiliki wa ndege za KQ ulianza na mtu mmoja, mbunge wa Nandi Alfred Keter. Alfred Keter just imagine!
Hamna ubavu huo. Sisi tunanunua kwa cash mnakodi hizo ndege acheni ujinga wa kujisifiaKuna wengine wakinunua moja inakua shangwe na sherehe nchi yote, sisi hapa tunaagiza kumi kwa mpigo.
Hamna ubavu huo. Sisi tunanunua kwa cash mnakodi hizo ndege acheni ujinga wa kujisifia
Hamna ubavu huo. Sisi tunanunua kwa cash mnakodi hizo ndege acheni ujinga wa kujisifia
I quote..."The national carrier is planning to order up to 10 of the planes worth an estimated Ksh120 billion ($1.2 billion)"Hamna ubavu huo. Sisi tunanunua kwa cash mnakodi hizo ndege acheni ujinga wa kujisifia
Wa Tz wako na ndege 7 zao, za serikali yao kwa kodi zao..GoK haina hata ndege moja zote ni za kampuni binafsi ya KQ..usipotosheHawa watani wetu hutawezana nao ikifika kwenye umbea na longolongo bila facts. Walifungua nyuzi nyingi sana humu wakisema KQ ina ndege tatu tu. Ungedhani kwamba huo umbea kuhusu KQ ndio ungeongeza idadi ya ndege ambazo ATCL inamiliki. Kwenye hizo nyuzi zote ambazo walifungua humu sikutupia hata comment moja. Kwasababu sio jambo rahisi kubishana na mtu aliyebobea kwenye umbea, ni kibarua kigumu nakuambia. Kawaida yao ni kumeza fake news zozote ambazo zinaibuka Kenya, bila ya kujishughulisha kufatilia kwa undani wajue uhalisia wa kinachosemwa. Yaani ni ujuaji fulani hivi kuhusu vitu ambavyo hawavielewi hata kidogo. Huo umbea wote kuhusu umiliki wa ndege za KQ ulianza na mtu mmoja, mbunge wa Nandi Alfred Keter. Alfred Keter just imagine!
KQ ikiwa na busara iwachane na 737-8 kwanza sababu sifa zake kwa wateja(wasafiri) ipo chini sana na itathiri biashara, mimi mwenyewe siwezi ingia hio ndege afadhali ni kate tiketi ya hela nyingi..Lakini sababu wao ni kanjanja, wacha tuone watafikisha wapi ukurupukaji wao
Kuna wengine wakinunua moja inakua shangwe na sherehe nchi yote, sisi hapa tunaagiza kumi kwa mpigo.
Well, the GOK owns 48.9% of KQ, if its a stupid d*ck measuring content you are after, then do your math. Wait, and a further 38.1% of KQ is owned by Kenyans, that is 87% right there. Furthermore, if its just ownership of planes we are talking about even the Kenya Airforce owns numerous birds. See where this dumb line of thinking will take us?Wa Tz wako na ndege 7 zao, za serikali yao kwa kodi zao..GoK haina hata ndege moja zote ni za kampuni binafsi ya KQ..usipotoshe
Kweli kabisa, tashwishi lipo kwenye software wala sio structure ya ndege yenyewe. Tayari wameanza kuifanyia software utafiti na kuirekebisha.Since the issue is not on the structural part of the aircraft i guess a software issue is a simple fix
Sent using Jamii Forums mobile app