KQ yakiri kupata hasara kubwa kutokana na kufungiwa safari za Tanzania

Ni shida kulikua na wageni 9 waje na KQ imebidi warudishiwe hela yao.
 
With a fleet of 40 planes of which just 3 belong to KQ zigine zote ni za kukodi. Unlike ambao sitawataja wanaomiliki ndege zao wenyewe.

Also, beats me why Kenya imeruhusu watu kutoka nchi zinazoongoza kwa idadi ya maambukizi na vifo kutokana na COVID19 alafu when it comes to Tanzania mnajifanya eti mnajali afya zenu. Tulieni msote kwanza na bado! Huu ndio ukoloni mambo leo haswaaa!
Kwanza hao wamarekani wenyewe mliowaruhusu kwenu hawawataki kwao (travel alert issued against Kenya by the US)
 
Nimepita hapa airport sasa hivi nimeona fly540 ukipakia watu! Kwa nini jamani. Si tumekubaliana ndege yoyote ya kenya isitue!
 
Shirka la ndege la taifa la kunyaland (Kenya) na ndege zake ndo tumelifuta kibali cha kuingia kwenye anga letu Tanzania. So kama kuna ndege ingine ya Kenya Shirka tofauti linaweza operate.
Nimepita hapa airport sasa hivi nimeona fly540 ukipakia watu! Kwa nini jamani. Si tumekubaliana ndege yoyote ya kenya isitue!
 
Mkuu watu wengine sio wa kubishana nao waache wafe,wazikwe juu panda kisamvu au mti ndio faida zao zilipo humu unapoteza nguvu hamna kitu kichwani.
 
Hehehe!!proof
Sasa ni prove nini wakati wewe uliyesema inakuja Tanzania ndio ulipaswa kuonyesha kama ni picha au ratiba yao inayoonyesha inakuja Tanzania. Jambo jet ni hivi karibuni tu ndio imeanza kwenda Uganda, bado ni domestic flight hapo Kenya.
 
Huu mgogoro umesababishwa kwa kiasi kikubwa na Papamagamba Kabudi kukosa hekima ya kiuongozi na kidiplomasia.

How fafanua pls uwe mzalendo kama kwa umri wako umefuatilia uhusiano wetu na Kenya kwa hakika huna budi kujivunia maamuzi ya serikali ya awamu ya 5 dhidi ya Kenya, Wakenya ni mende, kunguni, viroboto, na Mbwa kbsa
 
Sasa ni prove nini wakati wewe uliyesema inakuja Tanzania ndio ulipaswa kuonyesha kama ni picha au ratiba yao inayoonyesha inakuja Tanzania. Jambo jet ni hivi karibuni tu ndio imeanza kwenda Uganda, bado ni domestic flight hapo Kenya.
Wapi nilisema inakuja[emoji23][emoji23][emoji23]
We ndio umesema haiwezi kuja hko..ndio u prove
 
wakati makajamba hapo tanzagiza wanamwaga povu kuliko PERSIL, KQ inaendelea kuchapa kazi...



London/UK



 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…