Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TANZANIA ni kosa la jinai ukikamatwa na mirungi kenya hauna tofauti na pipiHapo ndio Ujue Mirungi mibaya kwa Afya@
Achana nae huyo ana ishu hapo alipo anakula Kwa wazazi wake hajui biashara yeyote unategemea atajua mambo ya kibiashara?Nilisha kuambia n akili 2 kama hujui tulizana sio ku andikia vituko
Madhara ya Mirungi na maamuzi ya ajabu ha haTANZANIA ni kosa la jinai ukikamatwa na mirungi kenya hauna tofauti na pipi
Ndio maana viongozi wa kenya wanashindwa kwenye maamuzi yao yoteMadhara ya Mirungi na maamuzi ya ajabu ha ha
Mkuu umemaliza wanaoumia ni kenya sana ndio maana wanalialia.Upo vizuri sana mkuu.
Wageni watakuja na ndege nyingine. KQ kufungiwa haina maana wageni wataacha kuja. Nyinyi wenzetu wenye akili na mnaojua diplomasia na uchumi vipi? Nani kawaambia KQ isipokuja wageni hawatakuja?Hivi unadhani ndege zinatua na kuondoka bure pale, unadhani wageni wanakuja na teksi zao, unadhani wanakuja na bidhaa zao za matumizi kwenye mabegi, unadhani wanalala kwenu.
Kila shetani ana mbuyu wake. Wako wageni ambao mbuyu wao Ni KQ. Nikilinganisha na viwanja vingine Kama Bore Ethiopia, Jomo Kenyatta, Oliver Tamo, Shark, Amsterdam.... Sisi hapa Ni Kama tunajifunza tu. Sidhani tuna ndege nyingi na wageni wengi hivyo hatuhitaji KQ na abiria wake, huu Ni ujuha sawa na ujuha mwingine wa kiuchumi.Wageni watakuja na ndege nyingine. KQ kufungiwa haina maana wageni wataacha kuja. Nyinyi wenzetu wenye akili na mnaojua diplomasia na uchumi vipi? Nani kawaambia KQ isipokuja wageni hawatakuja?
Kwahio mtu akitaka kuja Tz anaweza asije kisa KQ haiji Tz?! Kuna ndege yeyote ya USA inatua Tz? Kuna ndege ya UK inatua Tz? Kuna ndege ya Germany inatua Tz? Je wageni Hawaji kutoka hizo nchi? Au ndio unataka kusema wanaletwa na KQ? Ujuha ni kudhani KQ inashikilia uchumi wetu.Kila shetani ana mbuyu wake. Wako wageni ambao mbuyu wao Ni KQ. Nikilinganisha na viwanja vingine Kama Bore Ethiopia, Jomo Kenyatta, Oliver Tamo, Shark, Amsterdam.... Sisi hapa Ni Kama tunajifunza tu. Sidhani tuna ndege nyingi na wageni wengi hivyo hatuhitaji KQ na abiria wake, huu Ni ujuha sawa na ujuha mwingine wa kiuchumi.
Hivi wewe una matatizo gani?, umeshaona wapi mtu anaamua kusafiri kwasababu kampuni moja ya ndege au bus imesimamisha Niagara?, wacha kujitia hamnazo na kutupitezea nguvu zetu bure.Kila shetani ana mbuyu wake. Wako wageni ambao mbuyu wao Ni KQ. Nikilinganisha na viwanja vingine Kama Bore Ethiopia, Jomo Kenyatta, Oliver Tamo, Shark, Amsterdam.... Sisi hapa Ni Kama tunajifunza tu. Sidhani tuna ndege nyingi na wageni wengi hivyo hatuhitaji KQ na abiria wake, huu Ni ujuha sawa na ujuha mwingine wa kiuchumi.
So imagine kuandika kunahitaji akili ndogo sana, sasa unaposhindwa kitu kidogo kama hicho utawezaje kuelewa haya ya ndege? Yani nakua nakuonea tuNilisha kuambia n akili 2 kama hujui tulizana sio ku andikia vituko
Una assumptions za kitoto sana, kua humble... huu ni mtandao, kutumia platform moja haimaanishi tuko sawa. We jibu hoja usipayuke payuke tu. Unaweza ukakuta matumizi yangu ya internet tu ni sawa au zaidi ya kipato chako cha mwezi!Achana nae huyo ana ishu hapo alipo anakula Kwa wazazi wake hajui biashara yeyote unategemea atajua mambo ya kibiashara?
Hahahaha unaweza ukatumia matumizi hata ya milioni 3 Kwa mwezi lakini ukawa hujagharamia wewe . Mtu unampima ktk point zake tu za kujua faida na hasara unajua huyu bogas anasubiri msosi Kwa mama yake . haiwezekani mtu anaejua biashara akasema uamuzi iliochukua serikali ya TZ wanapata hasara Kwa hesabu zipi mwenzetu ulizotumia ?So imagine kuandika kunahitaji akili ndogo sana, sasa unaposhindwa kitu kidogo kama hicho utawezaje kuelewa haya ya ndege? Yani nakua nakuonea tu
Una assumptions za kitoto sana, kua humble... huu ni mtandao, kutumia platform moja haimaanishi tuko sawa. We jibu hoja usipayuke payuke tu. Unaweza ukakuta matumizi yangu ya internet tu ni sawa au zaidi ya kipato chako cha mwezi!
Ni haki yako kuamini utakachoHahahaha unaweza ukatumia matumizi hata ya milioni 3 Kwa mwezi lakini ukawa hujagharamia wewe . Mtu unampima ktk point zake tu za kujua faida na hasara unajua huyu bogas anasubiri msosi Kwa mama yake .
Jibu lako lipo kwenye hii post yangu ya kwanza kabisa. Hiyo hapo chini Ipitie tena... Utahitaji uelewa mpana kidogo kuelewa ila ukishindwa usisite kusema nikufafanulie zaidihaiwezekani mtu anaejua biashara akasema uamuzi iliochukua serikali ya TZ wanapata hasara Kwa hesabu zipi mwenzetu ulizotumia ?
hivi vitu haviendi kienyeji kama unavyofikiria. Kuna watalii aina mbili, wanaojuoa wanapotaka kwenda na kuplan in advance hawa wataenda popote bila kujali vikwazo au gharama ila kuna level ikifika wanabadili plan. wapo wanaoshawishiwa na matangazo, travel agents, offers, gharama na wepesi wa safari. Sawa kukosa kabisa haiwezekani lakini kupungua watapungua. Not good for business.
Sijui kama umewai kusafiri point A to C via B, nitofauti sana na kusafiri point A to B alafu point B to C. Gharama inaongezeka kwa %kubwa hasa safari za ndege. Sasa KQ inaaminika huko duniani, ni mshiriki wa skyteam na inaroute nyingi. Kusema sisi hatuumii ni kuwaza pafupi sana. hapa kilammoja anapoteza.
wee ni njaa 2 ina kusubua ume pata sababu yakunikimbia typing error kitu cha kawaida sana acha bangi😂😂😂😂So imagine kuandika kunahitaji akili ndogo sana, sasa unaposhindwa kitu kidogo kama hicho utawezaje kuelewa haya ya ndege? Yani nakua nakuonea tu
Una assumptions za kitoto sana, kua humble... huu ni mtandao, kutumia platform moja haimaanishi tuko sawa. We jibu hoja usipayuke payuke tu. Unaweza ukakuta matumizi yangu ya internet tu ni sawa au zaidi ya kipato chako cha mwezi!
Hiyo yako ni zaidi ya typo. Sentensi zenyewe ni incoherent. Au niziquote tena?wee ni njaa 2 ina kusubua ume pata sababu yakunikimbia typing error kitu cha kawaida sana acha bangi😂😂😂😂
Hukuelewa nn😀😀??Hiyo yako ni zaidi ya typo. Sentensi zenyewe ni incoherent. Au niziquote tena?
UlichoandikaHukuelewa nn😀😀??
Nilisha kuambia akili2 hapa napoteznapoteza muda wangu case closed.Ulichoandika
Kenya inakwamisha tz kwenda Kenya kwa kuzuia vibali sasa wamelikoroga wakitaka kuja tz watoe vibali na sisi twende kwao na ndege zetuNi lini ATCL imepeleka abiria Kenya? PW ndio shirika pekee la Tz liendalo Kenya.
Huu mgogoro unaiathiri zaidi PW
True tukikubali wawe wanatuchokoza kisha tunafanya kupatana haraka watazidi kutusumbuaAcha washike adabu kwanza ili siku nyingine wafikirie mara mbili mbili kabla ya kuropoka
na kuwafokea watu