KRA tax collections fall by 32 percent in first quarter

KRA tax collections fall by 32 percent in first quarter

Hahahaha, China refused to give you money for the remaining sections of SGR because you have lost that credibility. For your information, Tanzania has better credit ranting than Kenya.

The question is, why do you borrow if you have money in your pockets to spend?, very unfortunate is that Kenya borrows to pay its loan, that occurs only among collapsed economies, Kenya is among very few failed economies.
Of course Tanzania has better "credit ranting". Continue ranting bongolalas


Beijing visit paves way for Sh350bn Kisumu SGR loan
 
Ninyi mngekua na akili msingezungumzia hili la kikusanya mapato Mengi, mngejiuliza kwanini sisi tunaokusanya zaidi ndio tunakupa zaidi, lakini Tanzania inakusanya kidogo haikopi sana, lakini miradi wanayojenga kwa pesa yao ni mara 4 ya miradi ya Kenya?
Huwezi linganiasha Tz na Ke Kaka! Bajetu yet ya elimu pekee ni $3B ilhali yenu haifiki $1B. Adi bajeti yetu ya afya ni karibu Mara tatu ya Tz. Keep it in mind that we are totally different with different lifestyles,so don't expect our economic models to be same to yours.
 
Mmetupita na nn baada ya kufanya hyo miradi mara tatu yetu...au ni miradi hewa
Mnakusanya nyingi lakini mnafanya miradi kidogo, sisi tubakusanya kidogo lakini tinafanya miradi mingi, karibu Mara 3 ya miradi mbayofanya ninyi. Hahahaha, Hahahaha.
 
Anataka kenya wafanye vitu km wanavyofanya wao...amesahau km sisi sio ldc..
Wanafuata mkumbo tu hao, wanafanya kwa sababu wanatka kua km kenya hku wakisahau mbinu wanazotumia zitawamaliza kiuchumi
Huwezi linganiasha Tz na Ke Kaka! Bajetu yet ya elimu pekee ni $3B ilhali yenu haifiki $1B. Adi bajeti yetu ya afya ni karibu Mara tatu ya Tz. Keep it in mind that we are totally different with different lifestyles,so don't expect our economic models to be same to yours.
 
Tatizo je alichokiongea ni kwel au la!!
Unaruhusiwa kupinga..huenda ikawa ametumwa na mabeberu kuleta taharuki
Pale Mkenya anazungumzia Tanzania
Hakuna mtanzia
Anazungumza kiswahili cha kipumbavu kama hicho
Ati, Ati, Ati,
 
Ninyi mngekua na akili msingezungumzia hili la kikusanya mapato Mengi, mngejiuliza kwanini sisi tunaokusanya zaidi ndio tunakupa zaidi, lakini Tanzania inakusanya kidogo haikopi sana, lakini miradi wanayojenga kwa pesa yao ni mara 4 ya miradi ya Kenya?
Miradi mara nne?ivi wewe ata kama nikueneza propaganda za ccm akili yako hua kama ya panzi.......leta ushahidi ya hiyo miradi mara nne nahama jamii forums Leo *****
 
Huwezi linganiasha Tz na Ke Kaka! Bajetu yet ya elimu pekee ni $3B ilhali yenu haifiki $1B. Adi bajeti yetu ya afya ni karibu Mara tatu ya Tz. Keep it in mind that we are totally different with different lifestyles,so don't expect our economic models to be same to yours.
Hahahaha, hatulinganishi bajeti, tunalinfanisha kile kinachofanywa na hiyo bajeti, kumbuka kwamba 52 ya bajeti yenu mnalipia "Salaries" kwa watumishi wa umma ambao ni 2% of population, 30% ya bajeti yenu inapotea ktk "corruption "

Tulinganishe Huduma na miradi inayotekelezwa na serikali katika kuwahudumia wananchi. Tanzania tunafanya miradi yenye thamani Mara 5 ya ile ya Kenya inayotumia pesa za ndani.
 
Mmetupita na nn baada ya kufanya hyo miradi mara tatu yetu...au ni miradi hewa
Lete miradi inayotekelezwa kwa pesa yenu tulinganishe na ile tunayotekeleza kwa pesa yetu. Ukichukua hili bwawa la UMEME pekee, ni zaidi ya miradi yote ya Kenya inayotumia pesa ya ndani. $3B sio mchezo, miradi mikubwa kama huu, haiwezikani kutokea Kenya.
 
Kwn unataka pesa zetu tuzitumie km vile mnavyotumia nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23]
Elimu mmewekeza kiasi gani cha hela hko kwenu..manake hyo ndio backbone kw watoto wetu, nguvu kazi wa kesho
Lete miradi inayotekelezwa kwa pesa yenu tulinganishe na ile tunayotekeleza kwa pesa yetu. Ukichukua hili bwawa la UMEME pekee, ni zaidi ya miradi yote ya Kenya inayotumia pesa ya ndani. $3B sio mchezo, miradi mikubwa kama huu, haiwezikani kutokea Kenya.
 
Kwn unataka pesa zetu tuzitumie km vile mnavyotumia nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23]
Elimu mmewekeza kiasi gani cha hela hko kwenu..manake hyo ndio backbone kw watoto wetu, nguvu kazi wa kesho
Kwanini unazungumza pesa, tuzungumze mambo yaliyofanyika katika elimu, Afya, barabara, maji , UMEME, na mambo yenye kuleta maendeleo. Ninyi bajeti yenu haifiki kwa wananchi, 30% inapotea njiani, 52% ni Salaries, sasa bajeti kubwa isiyofika kwa mwananchi inasaidia nini?
 
Miradi mara nne?ivi wewe ata kama nikueneza propaganda za ccm akili yako hua kama ya panzi.......leta ushahidi ya hiyo miradi mara nne nahama jamii forums Leo *****
Twende Kazi

1)SGR to Dodoma...$2.9B
2)Nyerere hydroelectricity.. $3B
3)Ununuzi wa ndege mpya 11...$1.2B
4)Ujenzi wa daraja ziwa Victoria.. $300M
5)Ujenzi wa rada 4.....$60M
6)Ujenzi wa Meli kubwa Z.Victoria $80M

Jumla...$7.54B

Hahahaha, Hahahaha

Hata robo ya hiyo hamuwezi kufika, hapo bado nimeacha miradi kibao.
 
Twende Kazi

1)SGR to Dodoma...$2.9B
2)Nyerere hydroelectricity.. $3B
3)Ununuzi wa ndege mpya 11...$1.2B
4)Ujenzi wa daraja ziwa Victoria.. $300M
5)Ujenzi wa rada 4.....$60M
6)Ujenzi wa Meli kubwa Z.Victoria $80M

Jumla...$7.54B

Hahahaha, Hahahaha

Hata robo ya hiyo hamuwezi kufika, hapo bado nimeacha miradi kibao.
1,Sgr kutoka Moro Hadi Dodoma mlikopa
2.nyerere hydroelectric (bado iko kwa makaratasi)thibitisha na picha
3,ndege zenyu hazija fikisha $1bn kachezee Massai wa ccm kichwa
4,nipe picha ha hiyo daraja(actual construction pictures na sio renders)
5,nipe picha ya meli
Having said that miradi ya Kenya uki jumuisha ambayo inaendelea yaweza fika over $10bn....kwa sasa Rudi kwenye shimo la ccm ambalo umetoka
 
The most interesting part is that KRA collects almost three times more of what your relevant authority is collecting there in bongolala. Wewe unapigana kelele hapa na hata hiyo ushuru hulipi

Wee unaonekana umevurugwa,
the issue in here is about KRA 32% decrease in revenue collection, (a fall of more than one third) not ligi kati ya TZ n kenya.
 
1,Sgr kutoka Moro Hadi Dodoma mlikopa
2.nyerere hydroelectric (bado iko kwa makaratasi)thibitisha na picha
3,ndege zenyu hazija fikisha $1bn kachezee Massai wa ccm kichwa
4,nipe picha ha hiyo daraja(actual construction pictures na sio renders)
5,nipe picha ya meli
Having said that miradi ya Kenya uki jumuisha ambayo inaendelea yaweza fika over $10bn....kwa sasa Rudi kwenye shimo la ccm ambalo umetoka
Wewe kwanza weka orodha ya miradi yenu hapa, kisha kila mmoja atathibitisha kwa picha. Weka kwanza orodha ya miradi yenu, kisha nitakuwekea picha. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha. Hoyeeeeeeeee
 
1,Sgr kutoka Moro Hadi Dodoma mlikopa
2.nyerere hydroelectric (bado iko kwa makaratasi)thibitisha na picha
3,ndege zenyu hazija fikisha $1bn kachezee Massai wa ccm kichwa
4,nipe picha ha hiyo daraja(actual construction pictures na sio renders)
5,nipe picha ya meli
Having said that miradi ya Kenya uki jumuisha ambayo inaendelea yaweza fika over $10bn....kwa sasa Rudi kwenye shimo la ccm ambalo umetoka
Nyerere hydroelectricity "Bado ipo kwa makaratasi"


Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Naona wameanza kujaza server shobo😂😂
GDP ya makaratasi, Ushuru unaendelea kididimia, mwendo ni wa kufuta watu kazi..Njaa imeongezeka.
"Middle income" kumbe makapuku

Wameanzia kuto ajiri wafanyakazi wa serikali. The dicided to kick away their succession plan in public service.
 
Back
Top Bottom