Tuliza mzigo kakaStop blaming your inneficiencies on us. Start acting instead of lamenting. Hilo la wauza ng'ombe linafanyika hapa Kenya. Huwezi kuuza ng'ombe, mbuzi au kondoo kwenye mnada hapa Kenya bila kulipa kodi.
Wewe umesoma hizo comments za Watanzania,Watanzania hawajui kujifunza
Wanachojuwa wao ni ubushi na ushindanikama Wewe unafikiri huu uzi utawafunza Watanzania basi umekosea sana,huwajui hawa Watu..the most ignorant people in the planet Earth
Message delivered. Again, start acting and stop lamentingTuliza mzigo kaka
Kwani izo pesa mnazokusanya zinawatosha? Tuliza nmeshakuambiaMessage delivered. Again, start acting and stop lamenting
Kiukweli mtoa mada umegusa jambo la msingi sana.
Taasisi nyingi za umma kama sio zote nchini Tanzania tovuti zao zimechoka sana huwez kupata taarifa muhimu unazohitaji matokeo yake unalazimika mpk uende ofisini kwa taasisi husika kupata maelekezo madogo ambayo ungeweza kupata online na kupunguza kupoteza muda.
Mfano unaanza biashara na unahitaji leseni ya biashara hamna sehem unapata taarifa juu ya vitu gan vinahitajika.
Utalazimika uende ofisi za TRA uulize upewe maelekezo ndio ukaandae vitu vinavyotakiwa. Hii ingeweza kuwa solved kwa kuweka taarifa hizo muhimu kwenye tovuti na pengine ujaze kabisa ukifka pale unakabidhiwa kama ni TIN uendele na mamb mengine.
Taasisi za umma zinahitaji zibadilike kwakweli hasa kwenye hz tovuti.
Haungekuwa na chochote cha kujifunza Kenya, haungekuwa kwenye jukwaa la Kenya. Hii inadhihirisha jinsi chuki ilvyokukaba hadi kooni
That is what he doesn't know. Chuki zake haziwezilemaza Kenya kimaendeleo hata dakika mojaAchana na watu wa aina hii.. anadhani kusema hivi ataiganya kenya irudi nyuma kiuchumi.[emoji1]
Hazitutoshi ila imetuwezesha kuwa na uchumi kubwa ukanda huu. Again, start acting...Kwani izo pesa mnazokusanya zinawatosha? Tuliza nmeshakuambia
Hoja nzuri lakini hii itawezekanaje wakati kila siku mnasema uchumi wa Kenya ni wa kupikwa? Is this not double standards?Kaka upo nje kabisa ya mada, wewe ndiye unayezungumza siasa, TRA ipo na matatizo ya kiutendaji kama ilivyo KRA.
Kawaida huwezi kulinganisha makusanyo ya nchi mbili zenye uchumi tofauti kwa kuangalia kiwango kilichokusanywa, badala yake unaangalia ni asilimia ngapi ya GDP ya hiyo nchi imewezwa kukusanywa, hapo ndio unaweza kupima ufanisi wa makusanyo ya kodi.
Kawaida nchi inapaswa kukusa 24% ya GDP yake kama kodi, Kama nchi ikifanikiwa kukusanya 24% ya GDP, hiyo ndio 100% ya ukusanyaji kodi, lakini hakuna nchi ambayo imeshafikia huko, nchi nyingi zinazofanya vizuri zipo kati ya 18 to 21%.
Kwa mara ya mwisho data za BoT zilionyesha Tanzania tunakusanya 15% na Kenya 16 %(sikumbuki vizuri). Kwahiyo hatupaswi kulinganisha kiwango badala yake tulinganishe % ya ukusanyaji wa mapato
Uchumi mkubwa wp sema angalauHazitutoshi ila imetuwezesha kuwa na uchumi kubwa ukanda huu. Again, start acting...
That is what he doesn't know. Chuki zake haziwezilemaza Kenya kimaendeleo hata dakika moja
Hiyo angalau is what you wish for 😂Uchumi mkubwa wp sema angalau
Walau per capital ya $3000 itapendeza tukifika hapoHiyo angalau is what you wish for [emoji23]
Jifunze kiswahili,..Mtanzania hasomesheki wala kufahamishika kirahisi,..ni watu wabishi wanaobisha bila ya kujua nini wanabishaSijakuelewa
Unaumwa jipu la ubongo wewe, hivi ukisema hujaelewa kitu ulichofundishwa au ulichotumwa maana yake hujaelewa lugha?, hiyo ni dalili ya kutojiamini na ulichoandika.Jifunze kiswahili,..Mtanzania hasomesheki wala kufahamishika kirahisi,..ni watu wabishi wanaobisha bila ya kujua nini wanabisha
Kama hujaelewa maana yake hujafahamu.,,kilichoandikwa kiko wazi kabisa,kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili sasa nini hujaelewa ?Unaumwa jipu la ubongo wewe, hivi ukisema hujaelewa kitu ulichofundishwa au ulichotumwa maana yake hujaelewa lugha?, hiyo ni dalili ya kutojiamini na ulichoandika.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
The real kenyan gdp[emoji116][emoji116]
Mkuu tuusan wasikuingize chaka hao wakora hawajafika huko.