Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 239
- 438
Duh hivi vitasa balaaa sikuuona huu uzi [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jike anafuata dume Kama kawaida ,,huna ubavu wa kunipuuza wakati una genye ..utahangaika Sana na mambo ya if humuSasa mbn unajichekesha af unanipa sifa kubwa ya kuniita mzee km demu wng anavyoniitaga au unalazimisha niwe basha ako au co, kaa ukijua mm huwa sizibui mitaro we baki nao huo mtaro wako.
Af ulivyo na chembe chembe za kishoga yn unanipa sifa af unasema haudhani km najua ss huo km co ushoga ni nn?
Btw siwezi kujiharibia credibility yng kujibishana na mshamba km ww mambo yako personal unayaleta Jf yn we kweli bado, hz mambo watu tumefanya zamani na tunakausha we punga unaleta humu jukwaani lofa sn ww na sidhani kama kuna mtu atajisumbua ku argue na mshamba dizain yako, muoneni huyu fala mambo ya nyumbani kwake analeta jukwaani [emoji116][emoji116][emoji116]
Ushauri: Nimepata binti bikra, je nimfanyie replacement niliyemuoa?
Ushauri: Nimepata binti bikra, je nimfanyie replacement niliyemuoa?
Jike anafuata dume Kama kawaida ,,huna ubavu wa kunipuuza wakati una genye ..utahangaika Sana na mambo ya if humu
Sindano imewaingia..... 😹 😹 😹 🤣 🤣 🤣 🤣.....ongezea na litusi lingine,we malaya wa kike tulia bana,uko kwenye majukwaa ya nchi za watu unawaletea shobo za ki bar maid,halafu unajitutumua kujiita kidume!!
au kidume wa buza!!!
Sindano imewaingia..... [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787].....ongezea na litusi lingine,
kalb hayawan.
eti sindano[emoji28][emoji28].sindano gani upuuzi kaandika huyo pacha wako!!!
Uloandika weye tuliitaje?...hulioni hilo la mke mwenza?au ndizo zile za nyani kutokuona kundule,kalb wahed!
Potelea mbali, wa kupuuzwa tu weye kipanya,cheki avatar yake...hahahahh...kipanya cha kijani mwenyewe.mimi zangu haziitwi sindano wewe,sindano wanatoa watoto wa kike.
Nazidi kuongeza idadi ya majike zizini kwangu,ona hili jike lingine heat imelileta Mimi kwangu ntawapiga miti tu,kamsikulie utamu na jike mwenzio ajilete nimpe miti utatulia Kama mwenzio mimba tayari hukowe malaya wa kike tulia bana,uko kwenye majukwaa ya nchi za watu unawaletea shobo za ki bar maid,halafu unajitutumua kujiita kidume!!
au kidume wa buza!!!
Eti tusi hatari sana kwa kibongo bongo ni... we dada! [emoji38]Huu uzi huu....hehehe!! Sijui nani ataishiwa pumzi akubali yaishe, wabongo wakichambana huniacha hoi full kicheko.....aisei vijimaneno
Hiyo thread hatutaki kuchangia kwa sababu dunia yote inajua kwamba Tanzania corona ilipatikana hadi kwa papaya na mbuzi pia hakusazwa. Mwishowe tuliambiwa corona ilitimua mbio na kutoweka gafla kutokana na maombi wala sio juhudi kutoka kwa serikali licha ya watanzania kukaa miezi miwili bila kujua kinachoendelea ndani ya nchi yao kuhusu janga hilo. Ilikuwa ni vihoja na vichekesho!Mkuu kuna thread thread imefunguliwa inayoonyesha Tanzania imefanya vizuri katika mapambano dhidi ya Corona, jambo la kushangaza na kusikitisha ni kwamba, wakenya hawataki kabisa kuchangia, lakini katika hizi "threads" mbili ambazo zinazungumzia bandari na TRA zinazoiweka Kenya mbele ya Tanzania, wakenya wanashinda na kukesha. Hili unalionaje kwa mtazamo wako?
Nakuambia hakuna kitu mbaya duniani kama blind patriotismNixcie joh, are you not familiar with the proverb "kupigia guitar mbuzi*? mbona hujipendi si utaumwa na kichwa ukiexplain bro...chorea tu..😅😂
Nazidi kuongeza idadi ya majike zizini kwangu,ona hili jike lingine heat imelileta Mimi kwangu ntawapiga miti tu,kamsikulie utamu na jike mwenzio ajilete nimpe miti utatulia Kama mwenzio mimba tayari huko
Mkuu Asante kwa kumdhibiti huyu kijana, huwa ana mihemuko ya ajabu ajabu sana hapa jamvini.Tumekubaliana tupunguze mivutano isiyokuwa kuwa na tija. Lengo ni kuonyesha ni maeneo gani nchi ipi inafanya vizuri ili nchi nyengine ijifinze kutoka nchi nyingine.
Katika huu uzi na ule unaohusu bandari ya Dar na Mombasa, watu wamejaribu kuchangia bila ushabiki wa kujisifu au kujaribu kushusha nchi nyingine.
Jambo la kushangaza, wewe umeanza kujisifu na kutoa kashfa kwa Tanzania, jaribu kuwa na busara kidogo. Ukweli ni kwamba, niliomba tupunguze malumbano baada ya kuona Wakenya mumezidiwa katika mijadala mbalimbali, jana yote Wakenya mlipotea kabisa.
Punguza chuki na wivu, kila nchi ina mapungufu yake na mazuri yake, lengo ni kujifunza na kubadilishana uzoefu, sasa wewe unataka kuendeleza malumbano ambayo tayari Kenya mlishaanza kuzidiwa, jaribu kubadilika mkuu.
Sasa mbona mumeiweka Tanzania katika kundi ya nchi salama wakati dunia nzima inajua kwamba Tanzania kuna Corona mingi na watu wanazikwa husiku?, hamuogopi watanzania kuwaambukiza?Hiyo thread hatutaki kuchangia kwa sababu dunia yote inajua kwamba Tanzania corona ilipatikana hadi kwa papaya na mbuzi pia hakusazwa. Mwishowe tuliambiwa corona ilitimua mbio na kutoweka gafla kutokana na maombi wala sio juhudi kutoka kwa serikali licha ya watanzania kukaa miezi miwili bila kujua kinachoendelea ndani ya nchi yao kuhusu janga hilo. Ilikuwa ni vihoja na vichekesho!
Umeishi Nairobi walau hata Siku Moja ama unakariri nadharia za vijiweni?KRA vs TRA (Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania)
KRA: Kenya Revenue Authority
TRA: Tanzania Revenue Authority
Makusanyo (Tax Collection July 2019 to June 2020)
KRA-Kenya: 34 Trillion (Tsh)
TRA-Tanzania: 14 Trillion (Tsh)
Sababu ni hizi hapa.
Matumizi ya teknologia
- Matumizi duni ya teknologia (ICT) kwa TRA
- Kodi kubwa kwa walipa kodi TRA
- Kazi nyingi kufanyika kwa mikono (manual processing)- TRA
- Walipa kodi kukosa elimu ya walipa kodi: TRA
- Kukosa ubunifu katika kuongeza walipa kodi (Tax base) : TRA
- Kukosa uwazi kwenye viwango vya kodi kwa walipa kodi - TRA
Mfano mdogo ni ukilinganisha tovuti ya TRA vs KRA.
Tovuti ya TRA ipo duni sana na siyo tovuti ya karne hii bado ni zile tovuti static ambazo taarifa zake hazibadiliki na hazina umuhimu kwa walengwa .
Mfano.
Home page ya TRA vs Home page ya KRA.
Main menu TRA.
Ukifungua tovuti ya TRA kwanza ubnakutana na mambo yafuatayo
View attachment 1571980
Ukweli ni kwamba menu yote ambayo ndiyo memyu kuu haina umuhimu wowote kwa mlipa kodi , hata wanao isimamia hii tovuti sijui wana elimu gani.
Main menu KRA
Ukifungua tovuti ya KRA unakutana na menu ifuatayo
View attachment 1571981
Hii umekaa kihusika kabisa kwa mlipa kodi wa aina zote , ukifungua hapa individual unakutana na taarfiza zote na kodi kwa watu binafsi, ukifungua business unakutana na taariza zote za kodi kwa makampuni na taasisi, na investors unakutana na taarifa zote za kodi zinazo husu wawekezaji.
Home page TRA vs KRA
Home page ya TRA.
Utakutana picha zinazo za wanasiasa, ndege za ATCL, picha ya commissioner general ,picha za barabara etc, hivi vyote havina umuhimu wowote na wala havimusaidii mlipa kodi . Ni mambo ya kizamani sana .. nadhani mkuu wa ICT TRA atakua na miaka zaidi ya 50. Picha ya CG inahusika na nini na walipa kodi.. tovuti imejaa taarifa ambazo hazina mashiko.
View attachment 1571983
Home page ya KRA
Unakutana na maelezo ya jinsi ya kutafuta huduma yoyote ya kodi na kuna sehemu una chagua taarfia na huduma unayo itaka (very friendly )
View attachment 1571984
Hii ni mifano tuu jinsi TRA ilivyo nyuma katika matumizi ya teknologia katika kurahisisha ukusanyaji wa kodi. Tovuti hii ya KRA inafanya kazi za watu zaidi ya 5000, na uhakika KRA itakua na wafanyakazi wachache kuliko TRA pamoja na kwamba inakusanya kodi mara 3 ya TRA.
View attachment 1571985
Kwa ujumla tovuti ya TRA na KRA zina tofauti zifutazo.
Kwa leo niishie hapa, nitamalizia next week.
- KRA ina maelezo karibia yote ya aina za kodi na jinsi ya kulipa Pamoja na maelezo mengine ya kumsaidia mlipa kodi mkubwa na mdogo wakati tovuti ya TRA , taarifa ni chache san ana hazija pangwa kiutaratibu kiasi kwamba tovuti haina msaada .
- KRA kodi karibia zote unalipa kwa kutumia mitandao au una faili kwa kutumia teknologia na ii unapunguza sana rushwa na kubambikiwa kodi sizizo na maana. Mfano Capital Gain tax ambayo Tanzania Tax pengine inayo ongoza kwa rushwa, Kenya una faili online na baada ya muda unapewa risiti online ya kulipia .
- KRA imejengwa vizuri na ina taarifa ambazo zinamsadia mlipa kodi, zimehuishwa , tofauti na tovuti ya TRA ambayo imejaza taarifa ambazo hazina maana mfano: number of vistors inamsadia nini mlipa kodi, au link za taasisi za kodi ambazo hazipo Tanzania, utadhani hawana kitu cha kuweka kwenye tovuti sasa wanaamua kukusanya chochote na kujaza huko.
Naamini department ya TRA mtabadirika, au tafuteni namna mkajifunze kwa wenzenu wa KRA.
Tanzania bado inanafasi ya kufikia walau nusu ya makusanyo ya kenya kama itazingatia matumizi ya tehama na kuaachana na matumizi ya binadamu kwa sehemu kubwa, lakini kwa utaratibu huu wa sasa kenya muda si mrefu itakusanya mara 4 ta Kenya.
Huu upuuzi wako ndo uliowagharimu huu ujeuri na ubishi usio na kiwango, ushaambiwa na wazungu mnaowaamini kwamba no corona in Tz ss endelea kuleta vineno neno af muone km hamjaendelea kuokota maiti.Hiyo thread hatutaki kuchangia kwa sababu dunia yote inajua kwamba Tanzania corona ilipatikana hadi kwa papaya na mbuzi pia hakusazwa. Mwishowe tuliambiwa corona ilitimua mbio na kutoweka gafla kutokana na maombi wala sio juhudi kutoka kwa serikali licha ya watanzania kukaa miezi miwili bila kujua kinachoendelea ndani ya nchi yao kuhusu janga hilo. Ilikuwa ni vihoja na vichekesho!
Wewe ndiye mkenya pekee mwenye akili timamu humu Jf.Umeishi Nairobi walau hata Siku Moja ama unakariri nadharia za vijiweni?
1.Kenya ni nchi ya 3 Africa kwa kodi za juu
2.Karibu miradi yote ni mkopo, hata 5% kwa mradi mmoja huwa shangwe na vigelegele.
Petroli Saa hio dar ni kama ksh 90/- Nairobi ni 106/-
Hivi mitanzania mijinga mnatmani magu awaongeze kodi eti ndio muwee kupimana mikojo na Kenya?
https://kenyanwallstreet.com/kenyan...FjACegQIBhAB&usg=AOvVaw2XguhZBSA6ghPtklB6HgNR
Mkikuyu- Akili timamu ndio mkenya pekee huwa anandika ukweli kuhusu kenya,
Hawa wengine wapo kishabiki mtakesha humu kuanzisha argument zisizo na mbele wala nyuma huku wengine wakiweka siasa zisizo hitajika.
Wewe ndiye mkenya pekee mwenye akili timamu humu Jf.