KRA vs TRA: Kwanini Kenya inakusanya kodi mara 3 ya Tanzania

Jike anafuata dume Kama kawaida ,,huna ubavu wa kunipuuza wakati una genye ..utahangaika Sana na mambo ya if humu
 
Jike anafuata dume Kama kawaida ,,huna ubavu wa kunipuuza wakati una genye ..utahangaika Sana na mambo ya if humu

we malaya wa kike tulia bana,uko kwenye majukwaa ya nchi za watu unawaletea shobo za ki bar maid,halafu unajitutumua kujiita kidume!!

au kidume wa buza!!!
 
we malaya wa kike tulia bana,uko kwenye majukwaa ya nchi za watu unawaletea shobo za ki bar maid,halafu unajitutumua kujiita kidume!!

au kidume wa buza!!!
Sindano imewaingia..... 😹 😹 😹 🤣 🤣 🤣 🤣.....ongezea na litusi lingine,


kalb hayawan.
 
Sindano imewaingia..... [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787].....ongezea na litusi lingine,


kalb hayawan.

eti sindano[emoji28][emoji28].sindano gani upuuzi kaandika huyo pacha wako!!!
 
eti sindano[emoji28][emoji28].sindano gani upuuzi kaandika huyo pacha wako!!!

Uloandika weye tuliitaje?...hulioni hilo la mke mwenza?au ndizo zile za nyani kutokuona kundule,kalb wahed!
 
we malaya wa kike tulia bana,uko kwenye majukwaa ya nchi za watu unawaletea shobo za ki bar maid,halafu unajitutumua kujiita kidume!!

au kidume wa buza!!!
Nazidi kuongeza idadi ya majike zizini kwangu,ona hili jike lingine heat imelileta Mimi kwangu ntawapiga miti tu,kamsikulie utamu na jike mwenzio ajilete nimpe miti utatulia Kama mwenzio mimba tayari huko
 
Huu uzi huu....hehehe!! Sijui nani ataishiwa pumzi akubali yaishe, wabongo wakichambana huniacha hoi full kicheko.....aisei vijimaneno
Eti tusi hatari sana kwa kibongo bongo ni... we dada! [emoji38]
 
Hiyo thread hatutaki kuchangia kwa sababu dunia yote inajua kwamba Tanzania corona ilipatikana hadi kwa papaya na mbuzi pia hakusazwa. Mwishowe tuliambiwa corona ilitimua mbio na kutoweka gafla kutokana na maombi wala sio juhudi kutoka kwa serikali licha ya watanzania kukaa miezi miwili bila kujua kinachoendelea ndani ya nchi yao kuhusu janga hilo. Ilikuwa ni vihoja na vichekesho!
 
Nixcie joh, are you not familiar with the proverb "kupigia guitar mbuzi*? mbona hujipendi si utaumwa na kichwa ukiexplain bro...chorea tu..😅😂
Nakuambia hakuna kitu mbaya duniani kama blind patriotism
 
Nazidi kuongeza idadi ya majike zizini kwangu,ona hili jike lingine heat imelileta Mimi kwangu ntawapiga miti tu,kamsikulie utamu na jike mwenzio ajilete nimpe miti utatulia Kama mwenzio mimba tayari huko

angalia utabakwa.
 
Mkuu Asante kwa kumdhibiti huyu kijana, huwa ana mihemuko ya ajabu ajabu sana hapa jamvini.
 
Sasa mbona mumeiweka Tanzania katika kundi ya nchi salama wakati dunia nzima inajua kwamba Tanzania kuna Corona mingi na watu wanazikwa husiku?, hamuogopi watanzania kuwaambukiza?
Kitendo cha kuwaruhusu watanzania na kuiweka Tanzania katika nchi salama bila kuirudisha Somalia maana yake
1)Mnaamini kwamba Tanzania ni salama ila mlitaka kuendeleza kampeni ya kuipaka matope baada ya kuwashinda katika kupambana na Corona
AU
2)Mnaamini Tanzania kweli kuna Corona lakini mnaitegemea sana Tanzania kuliko Ethiopia kwahiyo mumechagua kuhatarisha maisha ya wakenya ili kuiridhisha Tanzania
 
Umeishi Nairobi walau hata Siku Moja ama unakariri nadharia za vijiweni?
1.Kenya ni nchi ya 3 Africa kwa kodi za juu
2.Karibu miradi yote ni mkopo, hata 5% kwa mradi mmoja huwa shangwe na vigelegele.
Petroli Saa hio dar ni kama ksh 90/- Nairobi ni 106/-
Hivi mitanzania mijinga mnatmani magu awaongeze kodi eti ndio muwee kupimana mikojo na Kenya?
https://kenyanwallstreet.com/kenyan...FjACegQIBhAB&usg=AOvVaw2XguhZBSA6ghPtklB6HgNR
 
Huu upuuzi wako ndo uliowagharimu huu ujeuri na ubishi usio na kiwango, ushaambiwa na wazungu mnaowaamini kwamba no corona in Tz ss endelea kuleta vineno neno af muone km hamjaendelea kuokota maiti.
 
Wewe ndiye mkenya pekee mwenye akili timamu humu Jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…