Kramo anaomba kuondoka Simba

Wamechelewa.

Wanafanya Hivi Baada ya KUONA MAKOSA Yao mengi kwenye USAJILI.

HAPO WANATAFUTA Beki na

Kiungo mkabaji.

Tuliwaahauri wamfanyie Robing Bangala Angeweza kucheza pote 5,6.

Simba wanatia Huruma.
Bangala ni mchezaji wa kawaida sana ,labda kama hujui mpira.
 
Watopolo kuiombea Simba mabaya haiwasaidii kufanya vizuri kwenye CAFCL.Wacheni umbea.
 
Acha uongo
 
Unajua wakati ule ndo tulikuwa tunajenga uwanja bajeti ya usajili ilikuwa ndogo sana kwa hiyo sajili zilikuwa za unga unga mwana ndo maana Man akatuotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…