Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
... [emoji3549] βΊβΊ πππ
πππ
Winga wa klabu ya Simba SC, Aubin Kramo alitonesha jeraha lake dakika ya (42') ya mchezo dhidi ya Ngome FC iliyopo katika Kambi ya Jeshi ya Tualipo (TAU) Temeke Jijini Dar Es Salaaam ambapo mchezo huo ulifanyika Bunju leo asubuhi.
Daktari wa Simba SC amesema kuwa watachunguza kujua kaumia kiasi gani, majibu watayatoa hivi karibuni kama kaumia sana au ni maumivu ya kawaida tu.
Winga wa klabu ya Simba SC, Aubin Kramo alitonesha jeraha lake dakika ya (42') ya mchezo dhidi ya Ngome FC iliyopo katika Kambi ya Jeshi ya Tualipo (TAU) Temeke Jijini Dar Es Salaaam ambapo mchezo huo ulifanyika Bunju leo asubuhi.
Daktari wa Simba SC amesema kuwa watachunguza kujua kaumia kiasi gani, majibu watayatoa hivi karibuni kama kaumia sana au ni maumivu ya kawaida tu.