Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
kingine
BELGIUM JUPILER LEAGUE
inapeleka team mbili kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE
bingwa ambaye anapatikana kwenye play off ya team 6 anaenda Uefa Group Stage runner yaan nafas ya pili anaenda Uefa qualification yaan kuingia group stage mpaka apambane na team zingine uefa
mtu wa tatu anaenda Europa group stage wa nne Ueropa qualification
af kuna wale wa 7 mpaka wa 14 wanacheza leaugue ya play off ambapo ataeongoza ataungana na wa tano na sita kwenye Ueropa play off
BELGIUM JUPILER LEAGUE
inapeleka team mbili kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE
bingwa ambaye anapatikana kwenye play off ya team 6 anaenda Uefa Group Stage runner yaan nafas ya pili anaenda Uefa qualification yaan kuingia group stage mpaka apambane na team zingine uefa
mtu wa tatu anaenda Europa group stage wa nne Ueropa qualification
af kuna wale wa 7 mpaka wa 14 wanacheza leaugue ya play off ambapo ataeongoza ataungana na wa tano na sita kwenye Ueropa play off