Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
Niliuliza hizo playoffs inachezwa dhidi ya nani ukanijibu Gent dhidi ya ile nyengine mm nilichanganya nilidhani dhidi Genk ndio maana nkauliza Genk ikifungwa kwenye hiyo playoffs itakuwaje? Uzuri nilisoma tena kwa umakini nkagundua kumbe ni Gent na sio GenkSamahani sijakuelewa, unaweza kufafanua kidogo?
Ahsante
Niliuliza hizo playoffs inachezwa dhidi ya nani ukanijibu Gent dhidi ya ile nyengine mm nilichanganya nilidhani dhidi Genk ndio maana nkauliza Genk ikifungwa kwenye hiyo playoffs itakuwaje? Uzuri nilisoma tena kwa umakini nkagundua kumbe ni Gent na sio GenkSamahani sijakuelewa, unaweza kufafanua kidogo?
Ahsante
Niliuliza hizo playoffs inachezwa dhidi ya nani ukanijibu Gent dhidi ya ile nyengine mm nilichanganya nilidhani dhidi Genk ndio maana nkauliza Genk ikifungwa kwenye hiyo playoffs itakuwaje? Uzuri nilisoma tena kwa umakini nkagundua kumbe ni Gent na sio GenkSamahani sijakuelewa, unaweza kufafanua kidogo?
Ahsante
hio play off ipo kama leage ina team sita ambazo zinacheza mechi kwa kukusanya point na hua zinaanza kwa nusu ya point ilizokusanya kwenye michezo 30 ya team zilizopo kwenye ligiNiliuliza hizo playoffs inachezwa dhidi ya nani ukanijibu Gent dhidi ya ile nyengine mm nilichanganya nilidhani dhidi Genk ndio maana nkauliza Genk ikifungwa kwenye hiyo playoffs itakuwaje? Uzuri nilisoma tena kwa umakini nkagundua kumbe ni Gent na sio Genk
Swali jengine sasa hiyo itakayoshinda playoffs inaenda kwenye uefa au europa?
jamaa nimebahatika kuchek game zake anapocheza ktk club yake, si mpambanaji style yake ya magoli ni ile ya kusubiri aletewe mipira amalizie, si mpambanaji samatta.Samatta kiatu cha dhahabu sidhani labda mechi ya mwisho atie goli 4.
Kuna mwamba wa kiarabu ana goli 25 yeye 23.
haiitaj degree kujua Tz kuna wachawijamaa nimebahatika kuchek game zake anapocheza ktk club yake, si mpambanaji style yake ya magoli ni ile ya kusubiri aletewe mipira amalizie, si mpambanaji samatta.
acha kuposha watu hivyoSamatta kiatu cha dhahabu sidhani labda mechi ya mwisho atie goli 4.
Kuna mwamba wa kiarabu ana goli 25 yeye 23.
mkuu uyo nyumbu hajui analoliongea..labda jupiler league ya shinyanga ndo mwarabu wake anaongozaacha kuposha watu hivyo
hio league huifuatilii huijui samata ni top scorer na anaemfata ana 18
kwa hio stage walofika magoli yanaongezewa kwa wale wanaocheza team 6 za juu huyo mwarabu wako anachezea team ganiView attachment 1100096
acha kuposha watu hivyo
hio league huifuatilii huijui samata ni top scorer na anaemfata ana 18
kwa hio stage walofika magoli yanaongezewa kwa wale wanaocheza team 6 za juu huyo mwarabu wako anachezea team ganiView attachment 1100096
Hongera kwake Mbwana,maana huo ubingwa amechangia asilimia 90Klabu ya KRC Genk imetwaa rasmi ubingwa wa ligi kuu ya soka ya nchini Ubelgiji, Belgium Jupiler League kwa msimu wa kuanzia 2018/2019.
Klabu hiyo ya KRC Genk ambayo anakipiga nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambaye pia ni kinara wa mabao kwenye ligi hiyo ya Ubelgiji, Mbwana Samatta Samagoal77, imetwaa ubingwa baada ya kutoka sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Anderlecht na kuweza kufikisha pointi 51 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine.
Ubingwa huo wa KRC Genk umepatikana baada ya wapinzani wao wa karibu kwenye kinyang'anyiro Uchampioni, Club Brugge kupoteza mchezo wao kwa kipigo cha mabao 2-0 mbele ya Standard Liege hivyo kupoteza uwezo wa kufikisha pointi 51 huku ukiwa umebaki mchezo mmoja katika mchuano wa timu sita bora.
Kwa ubingwa huo KRC Genk wamepata nafasi ya kucheza michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya msimu ujao.
View attachment 1099876View attachment 1099877
huyo jamaa yupo zulte waregem team yake haipo kwenye play off ya team 6 hivyo ana goals 18
Play off, kuna namna hua wanafanya ili uwe bingwaHii ligi ina timu sita tu?
Hapana ina timu nyingi ila wao wanacheza halafu baadae nadhan kwenye mzunguko wa pili wanachukua timu sita za juu zinakuwa na ligi yao na zile zilizobaki zinapambana kwenye kushuka darajaKlabu mbona chache sana hivyo katika hiyo ligi?