Krismas imeniachia ugonjwa wa zinaa

Krismas imeniachia ugonjwa wa zinaa

wewe ni shujaa unapiga pmbu mchepuko kavu kavu una roho ngumu!!!! mkuu nenda hospital ukapate tiba sahihi na baada ya miezi mitatu ukapime VVU

ha ha ha ha ha haaa daaah nayo kali nimependa comment yako mkuu.
 
Mh ugonjwa wa zinaa dalili kuonekana siku moja sidhani,labda ulikuwa nao siku nyingi. Cha muhimu nenda kamuone daktari ndugu. Cha muhimu zaidi mjulishe mkeo mkapime wote. Pia yawezekana wewe ndiye uliyemuambukiza mchepuko ugonjwa. Kifimbo Cheza

Acha kumdanganya mwenzio,kwa mwanaume hakawii kuona gono ni baada ya siku moja tu anaanza kusikia washawasha.kina dada ndo huchukua muda kujua.
 
Mficha maradhi kifo umuumbua. Tar. 25 dec kwangu imekuwa ya majanga baada ya kuchepuka na mchepuko huo kuniachia maradhi na niliamua kuchepuka baada ya mwandani wangu kwenda kula xmass kwao.
So jana nilihisi maumivu kidogo kwenye maungo yangu wakati nakojoa nikapuuzia lakini leo naona hii hali iko siriaz kila nikienda haja ndogo nasikia maumivu makali kwa ndani.
Najua humu ndani kuna wataalam wa masuala haya na ni maumivu tu wala hakuna usaa na labda naisi kichocho tu.
Nitashukuru sana kama ushauri utaendana (tiba) ni aina ipi ya dawa ya kutumia na itachukua mda gani? hofu ni kwa mpendwa wangu akinikuta ktk hali hii nategemea kujumuika pamoja siku ya mwaka mpya.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA USHAURI WENYE TIJA

Ukiona Gari la TAYOA (mobile lab), nenda kapime ukimwi! Ni bure!
 
Back
Top Bottom