Mabingwa wa kihistoria ligi kuu bara, yanga sc wameendelea kujifua huko Avic town.
Katika mwendelezo wa mazoezi yao mwalimu aliyepewa mikoba ya kukinoa kikosi hicho kwa muda, amekuja na programu kabambe.
Programu hiyo kabambe ameipa jina
KROSI.... Mikimbio kwa siku zinapigwa takribani krosi Mia tatu hamsini, mshambuliaji hatari Michael sarpong amekuwa mnufaikaji zaidi na krosi hizi kwa siku hufunga magoli Mia mbili na hamsini.
Mshambuliaji huyo hatari ametuma salamu kwa mabeki wa ligi kuu bara, pindi ligi itakapo rejea mapema mwezi ujao basi wajipamnge kwa mikrosi hiyo hatari.
View attachment 1736321