ktk hili tigo wamefulia

 
JIFUNZENI KWENDA NA MUDA JAMANI!kila kitu bongo tunakimbizana na dead-line,kila kitu.

ninyi ndo mnaesababisha foleni

NO hurry in afrika, everything starts late but ends in time,
kwa wasiojua ni kwamba baada ya tarehe 31 line ambayo haijasajiliwa haitatumika mpaka hapo itakaposajiliwa,ikitokea line yako hujaisajili mpaka muda huo opereta wako atalazimika kukufungia huduma hadi utakaposajili ndipo utarudishiwa huduma.
 
Hata hapa mzumbe tigo imekata toka ijumaa, yani no communications til today.
 
JIFUNZENI KWENDA NA MUDA JAMANI!kila kitu bongo tunakimbizana na dead-line,kila kitu.

ninyi ndo mnaesababisha foleni

very true mngegutuka mapema wala haya yasinge wakuta

mpwa mi kwa kukimbizana na deadline nin award ila kwenye kusajili line nilijikana nikawa wa mwanzo saa hizi nawacheck kwenye jua mstari huo ka wanasubiri unga wa yanga toka chama cha ushirika heeeheee!!!

chipu iz eksipensivu!!! hahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…