INAUZWA KTM 690 Enduro R

Nakubaliana na wewe mkuu, nimechangia tu kwa uelewa wangu , sio kuharibu biashara ya mtu ...kumbuka hili ni jukwaa huru linabeba kila aina ya watu ,.... masikini, matajiri, wehu , timamu etc etc .... naweza kuwa sahihi au si sahihi,

ninachoshangaa ni jinsi mleta uzi anavyopanic ( povu) as if namsanulia dili
 
Nikinunua Harrier hybrid kwa hiyo hela napata more utility kuliko hiyo pickx2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…