Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Redpanther

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
2,823
Reaction score
3,816
Habari za wakati huu, watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwape pole ndugu na jamaa ambao siku yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine.

Acha niende kwenye mada yangu, kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini maana ya mapenzi na uhuru katika mahusiano. Toka tumekuwa katika mahusiano, sehemu kubwa ni amani na pia mtu anayenipa changamoto ya kupambana na maisha.

Ni Mmarangu, Mzuri sana, anaumbo fulani safi sema anakakitambi fulani hivi 😘😘 ila mie hainipi shida sana kwa sababu napenda nyama nyama. Kulingana na uzoefu wangu, huyu dada ananifanya nione sababu kwanini ni muhimu sana kuzingatia suala la umri kwenye kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano serious sio yale ya "hit and run" .

Huyu mdada acha nimsifie tu, Mzuri🥰, Hana umbo la boks la karata, Anajituma kutafuta pesa, mzuri na msikivu. Sasa nimejaribu kulinganisha na hii age ya kuanzia 22 hadi 25 hapo hivi, kwa uzoefu wangu nimepitia headache sana. Mambo yanayofanywa na hawa wanawake wa age hii;
  • Anataka muda wote muwe mnachati tu, usimwambie niko nakazi ananuna 😏😏
  • Kukaguana kaguana simu, isipigwe simu na ikasikika sauti ya kike maswali yanaanza kama mahakamani 😔
  • Wanapenda mapenzi ya show off, sijui mtembee mmeshikana mikono barabarani kila mtu ajue sijui ndio lengo lao
  • Na mengine mengi tu
Mazuri ambalo nimeona ni moja tu
  • Hawa watoto ni watamu sana ila akili hamnamo .
Ni hayo tu, huu ni uzoefu wangu, toa uzoefu wako. POVU RUKSA

1621489191274.png

 
Sio kwamba ni raha kudate nao ila wengi wao wanakuwa desperate na ndoa..hvyo atakuonesha all good manners ilmrad umuone wife material umuoe au unasema uongo Karucee ?
It's quite possible.

It's also possible Ndugu yangu kwamba hii age kama ni kuruka sarakasi wamesharuka na wapo tayari kutulia na kuanzisha familia.
 
It's quite possible.

It's also possible Ndugu yangu kwamba hii age kama ni kuruka sarakasi wamesharuka na wapo tayari kutulia na kuanzisha familia.
Because unajua nn mom? Ile expire date ikireach ambayo huwa ni thirty.. She'll be outdated na ndo mwanzo wa kwanza kwenda kwa "manabii" kuombewa wapate mume...kwa hyo hapo anachanga karata zake vema
 
Unaweza ukawa uko sahihi, ila sio kwamba hiyo yupo desperate na ndoa. Ni suala la tabia na utulivu wa akili katika hiyo age. Hit and run zinawafaa sana hawa 23 hadi 26. Hao wengine tunawakosea kuwachapa na kuwaacha, akili yao imetulia.
Sio kwamba ni raha kudate nao ila wengi wao wanakuwa desperate na ndoa..hvyo atakuonesha all good manners ilmrad umuone wife material umuoe au unasema uongo Karucee ?
Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom