1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Ila ukumbuke huyo wa 28 pia wadau tuli hit and run kipindi yuko 23[emoji23]Yess.. akili zao zinawaza icecream na chocolate tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ukumbuke huyo wa 28 pia wadau tuli hit and run kipindi yuko 23[emoji23]Yess.. akili zao zinawaza icecream na chocolate tu.
Acha anilie timing tu kwa kweli, kuja kubadilika namimi nitakuwa nishafaidi vyangu vya kutosha. Nani mwenye hasara, hakuna vibomu vya kipuuzi puuzi kama hawa early 20'sKama ni wamarangu anakulia timing kama kumuua kobe kaa kimachale hakikosa anachokitaka anakipeleka side B.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Si ndio maana nasema hao kuwapiga na kuwaacha tunakuwa hatuwatendei haki maana wametulia sana. Hawa vicheche wanaojiita slay queen, wala bata la samaki samaki. Mie kila nikienda samaki narudi na kamoja kakulala nako, ila nikiona 27 au zaidi nawaacha maana hawastahili hayo.Ila ukumbuke huyo wa 28 pia wadau tuli hit and run kipindi yuko 23[emoji23]
Si ndio hapo mkuu, hivi vitoto vya miaka 20 ya mapema hivi daah. Yaani mtu anataka kila saaa muoongee tu na kuchati, sasa mtu tupo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miezi sita kila saa tunachati tunachati au kuongea nini kila wakati ?? Mimi binafs napenda space, nipate muda wa kujipumzisha na kufikiria maisha yangu nilikotoka na ninakokwenda, sasa hapo unaambiwa mbona hujibu mesejhi au uko na wawanake wako.Dhaaaa Mambo haya mm ndo maana
Natulia Tu huku kwenye 25-30 hapo hakuna
Kusumbuana kuchat kila saa
Vipi hana mtoto?Si ndio hapo mkuu, hivi vitoto vya miaka 20 ya mapema hivi daah. Yaani mtu anataka kila saaa muoongee tu na kuchati, sasa mtu tupo kwenye mahusiano kwa zaidi ya miezi sita kila saa tunachati tunachati au kuongea nini kila wakati ?? Mimi binafs napenda space, nipate muda wa kujipumzisha na kufikiria maisha yangu nilikotoka na ninakokwenda, sasa hapo unaambiwa mbona hujibu mesejhi au uko na wawanake wako.
Fala sana, mile zake chache tu. Kitu imetulia haijachoka sana. Injini safi kabisa, inafua joto la kutosha kuzungusha propellor ndio usiseme
Dhaaaa Mambo haya mm ndo maana
Natulia Tu huku kwenye 25-30 hapo hakuna
Kusumbuana kuchat kila saa
Hana mtoto Mkuu.vipi hana mtoto?
Binafsi napenda ila sio continuously, let us give each other space. Kuna vidada muda wote anataka kuchati mmmh we kwani sisi tu ndio tunanunua vifurushi vya sms kiasi kwamba tusipumue. tuchati kwa muda fulani baadae tufanye kaziHivi huwa hampendi kuchat jamani?
😛😛😛😛😛😛😛Kiufundi tunasema hiyo ni namba C ila ya mhindi bado mpya kabisa
Kuna vidada vinakera sana, vinataka muda wote mchati weeeeee, sasa usi replay SMS yake kwa wakati, hizo lawama....Hivi huwa hampendi kuchat jamani?
Kuna vidada vinakera sana, vinataka muda wote mchati weeeeee, sasa usi replay SMS yake kwa wakati, hizo lawama....
Hongera mkuuHabari za wakati huu watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwap@e pole ndugu na jamaa ambao sikun yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine.
Acha niende kwenye maada yangu, Kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini maana ya mapenzi na uhuru katika mahusiano. Toka tumeakuwa katika mahusiano, sehemu kubwa ni amani na pia mtu anayenipa changamoto ya kupambana na maisha. Ni Mmarangu, Mzuri sana, anaumbo fulani safi sema anakakitambi fulani hivi 😘😘 ila mie hainipi shida sana kwa sababu napenda nyama nyama. Kulingana na uzoefu wangu, huyu dada ananifanya nione sababu kwanini ni muhimu sana kuzingatia suala la umri kwenye kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano serious sio yale ya "hit and run" .
Huyu mdada acha nimsifie tu, Mzuri🥰, Hana umbo la boks la karata, Anajituma kutafuta pesa, mzuri na msikivu. Sasa nimejaribu kulinganisha na hii age ya kuanzia 22 hadi 25 hapo hivi, kwa uzoefu wangu nimepitia headache sana. Mambo yanayofanywa na hawa wanawake wa age hii;
Mazuri ambalo nimeona ni moja tu
- Anataka muda wote muwe mnachati tu, usimwambie niko nakazi ananuna 😏😏
- Kukaguana kaguana simu, isipigwe simu na ikasikika sauti ya kike maswali yanaanza kama mahakamani 😔
- Wanapenda mapenzi ya show off, sijui mtembee mmeshikana mikono barabarani kila mtu ajue sijui ndio lengo lao
- Na mengine mengi tu
Ni hayo tu, huu ni uzoefu wangu, toa uzoefu wako. POVU RUKSA
- Hawa watoto ni watamu sana ila akili hamnamo .
Habari za wakati huu watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwap@e pole ndugu na jamaa ambao sikun yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine.
Acha niende kwenye maada yangu, Kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini maana ya mapenzi na uhuru katika mahusiano. Toka tumeakuwa katika mahusiano, sehemu kubwa ni amani na pia mtu anayenipa changamoto ya kupambana na maisha. Ni Mmarangu, Mzuri sana, anaumbo fulani safi sema anakakitambi fulani hivi 😘😘 ila mie hainipi shida sana kwa sababu napenda nyama nyama. Kulingana na uzoefu wangu, huyu dada ananifanya nione sababu kwanini ni muhimu sana kuzingatia suala la umri kwenye kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano serious sio yale ya "hit and run" .
Huyu mdada acha nimsifie tu, Mzuri🥰, Hana umbo la boks la karata, Anajituma kutafuta pesa, mzuri na msikivu. Sasa nimejaribu kulinganisha na hii age ya kuanzia 22 hadi 25 hapo hivi, kwa uzoefu wangu nimepitia headache sana. Mambo yanayofanywa na hawa wanawake wa age hii;
Mazuri ambalo nimeona ni moja tu
- Anataka muda wote muwe mnachati tu, usimwambie niko nakazi ananuna 😏😏
- Kukaguana kaguana simu, isipigwe simu na ikasikika sauti ya kike maswali yanaanza kama mahakamani 😔
- Wanapenda mapenzi ya show off, sijui mtembee mmeshikana mikono barabarani kila mtu ajue sijui ndio lengo lao
- Na mengine mengi tu
Ni hayo tu, huu ni uzoefu wangu, toa uzoefu wako. POVU RUKSA
- Hawa watoto ni watamu sana ila akili hamnamo .
Kabisa mkuu.Hii ni kwa wanandoa watarajiwa.
Sisi maveterani huwa tunaangalia millages mwisho miaka 25 ndio tulivyoelewana mabaharia.
Kweli kabisa... MzeeTafuta ambaye anasoma au ana issue. Ukichukua house girl anajua kila mtu ana muda kama yeye.
Tunapenda Lakin sio kila wakatHivi huwa hampendi kuchat jamani?