Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Tafuta ambaye anasoma au ana issue. Ukichukua house girl anajua kila mtu ana muda kama yeye.

Hawa wanaosoma ni yale yale tu Mkuu. Tena akiwa hajui umhinu wa kusoma utakuta muda wote anataka kuchati we uko na kazi na yeye anakwambia niko lonely [emoji16][emoji16]. Sijui alitaka awe anasoma huku umempakata au iwehe iweje. Upuuzi tu
 
Hii ni kwa wanandoa watarajiwa.
Sisi maveterani huwa tunaangalia millages mwisho miaka 25 ndio tulivyoelewana mabaharia.

Ahaaaa! Kimbe unaangalia Mileage ? Kuna gari ni namba C ila mileage haifiki hata 50k sasa wewe kimbilia namba DW ukihisi utakuta 0 km. Kiukweli nafurahia nakuwa na muda namimi wakuwa na mida wa kufikiria mambo yangu
 
Kabisa mkuu.
Mwenzetu akiwa na umri wa miaka 23 hakupitia haya, ndio maana anaona shida.

Sisi ambao hatukuruka stage
Mambo ni mswano.

Mkuu hiyo Age nimekula sana watoto wa watu. Hadi leo huwa nikiomba kupasha kiporo naambiwa niwewe tu..! Ila kwa haka ka age kangu naona amani sana kuwa na huyu mdada
 
Tunapenda Lakin sio kila wakat
Sasa asubuh mtu anatumia text.

Anataka ujibu mda huo huo mchana nae ndo huyo huyo na ukichelewa utaskia uko na nan
Mbona hujibu msg.

na kumbe mtu uko kaz kumtafta ugali mm binafs napenda
Kua online Sana most jion na weekends.

Kinachoniboa zaid n hiz sim za
Mkianza kuongea mpaka sim unapata
Moto[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Ndio hapo sasa. Kipindi cha awali inakuwaga na moto sana kwa sababu mnakuwa bado mnajazilizana sehemu zinapopwaya ila kuna muda huwa mapenzi na kazi sio mapenzi mapenzi tuu mmh
 
eeeh sawa tutapiga mara moja kwa siku maongezi maximum 2mnts

Sio mbaya.! Ila inapendeza sana kuongea asubuhi kusalimiana na usiku wakati wa kulala, ila mambo ya kuongea mara kwa mara hata cha kuongea kinakuwa hakipo. Nipe muda namimi nifanye kazi pia nikumiss niwe nabashasha na hamu wakati tunaonge
 
Hao unajua wengi n Kula kulala
Na wako home stress hawana

Yeaah ni kweli, Kula kulala wanachangamoto sana hasa hasa hizo age unakuta yupo yupo tu home hana kikazi chakufanya awe busy basi wewe mpenzi wake ndio utakuwa kazi yake. Kidogo tu Mbona kimyaaa, Byeee mara sijui unafanya nini kwani mbona hujibu text [emoji849][emoji849][emoji57][emoji57][emoji57]
 
mmh hapa sijui ila nnachojua ndumba haingalii umri
kwenye swala la ndoa ni sawa kwa sababu hata wanaume kuna umri ukifika unatamani uwe na mke na familia iliyostable

Hilo ni kweli Mkuu, Kuna Age nyapu unakuwa umezichakaza sana huoni tena cha maana ndio maana inakuja haja ya kuwa na familia uwe na Ka chalii maisha yaende hivyo.
 
Ngoja niulize hivi kwanini wasichana wanapenda kuchati na kuongea kila saa?

Sijui kuna shida gani yaani, yaani utakuta anapiga piga tu simu hata mada serious hakuna. Basi anakuambia nilitaka tu kukusikia, sijui ndio kwamba wao ndio wanapenda sana kuliko sisi au aje aje vile ? [emoji2375][emoji2375][emoji2375]
 
Hawa wanaosoma ni yale yale tu Mkuu. Tena akiwa hajui umhinu wa kusoma utakuta muda wote anataka kuchati we uko na kazi na yeye anakwambia niko lonely [emoji16][emoji16]. Sijui alitaka awe anasoma huku umempakata au iwehe iweje. Upuuzi tu

Ndiyo maana mademu wa chuo wanatoka na wanachuo wenzao hata kama ana mtu nje. Wanasema idle mind is the work of the devil.
 
Yeaah ni kweli, Kula kulala wanachangamoto sana hasa hasa hizo age unakuta yupo yupo tu home hana kikazi chakufanya awe busy basi wewe mpenzi wake ndio utakuwa kazi yake. Kidogo tu Mbona kimyaaa, Byeee mara sijui unafanya nini kwani mbona hujibu text [emoji849][emoji849][emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]haya endelea kuchat na ulie nae

Wanamajibu Yao wanajua wenyewe
 
Ndugu yangu, shukuru una mtu anatamani kukusikia, siku mambo yakibadilika; utazimiss hizo moments mpaka basi
Sijui kuna shida gani yaani, yaani utakuta anapiga piga tu simu hata mada serious hakuna. Basi anakuambia nilitaka tu kukusikia, sijui ndio kwamba wao ndio wanapenda sana kuliko sisi au aje aje vile ? [emoji2375][emoji2375][emoji2375]
 
Back
Top Bottom