be unique
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,381
- 2,287
Naona mile zake kama dcm la mbagala kawe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mile zake kama dcm la mbagala kawe
Kama hujawahi kufurahia mapenzi ukiwa na 17 to 25 basi ukipata huko mbele mbele unaona umependelewaaaaaaa hembu mtuliage.
Tafuta ambaye anasoma au ana issue. Ukichukua house girl anajua kila mtu ana muda kama yeye.
Hongera mkuu
Hii ni kwa wanandoa watarajiwa.
Sisi maveterani huwa tunaangalia millages mwisho miaka 25 ndio tulivyoelewana mabaharia.
Kabisa mkuu.
Mwenzetu akiwa na umri wa miaka 23 hakupitia haya, ndio maana anaona shida.
Sisi ambao hatukuruka stage
Mambo ni mswano.
Tunapenda Lakin sio kila wakat
Sasa asubuh mtu anatumia text.
Anataka ujibu mda huo huo mchana nae ndo huyo huyo na ukichelewa utaskia uko na nan
Mbona hujibu msg.
na kumbe mtu uko kaz kumtafta ugali mm binafs napenda
Kua online Sana most jion na weekends.
Kinachoniboa zaid n hiz sim za
Mkianza kuongea mpaka sim unapata
Moto[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
eeeh sawa tutapiga mara moja kwa siku maongezi maximum 2mnts
Hao unajua wengi n Kula kulala
Na wako home stress hawana
mmh hapa sijui ila nnachojua ndumba haingalii umri
kwenye swala la ndoa ni sawa kwa sababu hata wanaume kuna umri ukifika unatamani uwe na mke na familia iliyostable
natania pia
tukiwa hatuna mada serious mazungumzo yakizidi dakika 5 huwa naboeka
kawaida ni twice a day kama hayupo, akiwepo labda sms ya nipike nini baaasi
Agiza chochote ulipo natuma na bank
Ndoa nyingi za skuhz age is number Tu
Bora wamependana na kuheshimiana
Ngoja niulize hivi kwanini wasichana wanapenda kuchati na kuongea kila saa?
Hawa wanaosoma ni yale yale tu Mkuu. Tena akiwa hajui umhinu wa kusoma utakuta muda wote anataka kuchati we uko na kazi na yeye anakwambia niko lonely [emoji16][emoji16]. Sijui alitaka awe anasoma huku umempakata au iwehe iweje. Upuuzi tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]haya endelea kuchat na ulie naeYeaah ni kweli, Kula kulala wanachangamoto sana hasa hasa hizo age unakuta yupo yupo tu home hana kikazi chakufanya awe busy basi wewe mpenzi wake ndio utakuwa kazi yake. Kidogo tu Mbona kimyaaa, Byeee mara sijui unafanya nini kwani mbona hujibu text [emoji849][emoji849][emoji57][emoji57][emoji57]
Sijui kuna shida gani yaani, yaani utakuta anapiga piga tu simu hata mada serious hakuna. Basi anakuambia nilitaka tu kukusikia, sijui ndio kwamba wao ndio wanapenda sana kuliko sisi au aje aje vile ? [emoji2375][emoji2375][emoji2375]
hahahahhaha kumamamakeNaona mile zake kama dcm la mbagala kawe
Ndugu yangu, shukuru una mtu anatamani kukusikia, siku mambo yakibadilika; utazimiss hizo moments mpaka basi
Uko busy na tukaz muda wa kuchati kila Mara sijui unatoa wapiHao unajua wengi n Kula kulala
Na wako home stress hawana