Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
- Thread starter
- #101
Angalia zaidi maturity ya mtu, unaweza ukampata mtu ana umri mkubwa ila akili zake sasa
Ni kweli Mkuu..! Hilo nalo neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia zaidi maturity ya mtu, unaweza ukampata mtu ana umri mkubwa ila akili zake sasa
Sawa mama, najitahidi sana, maana mimi akili yangu kwenye mawasiliano na jinsia ke huwa mbovu sana.
Najitahidi aisee.
It seems ulikuwa ukitumia pesa kuwalaghai hao watoto wa watu.Mkuu hiyo Age nimekula sana watoto wa watu. Hadi leo huwa nikiomba kupasha kiporo naambiwa niwewe tu..! Ila kwa haka ka age kangu naona amani sana kuwa na huyu mdada
It seems ulikuwa ukitumia pesa kuwalaghai hao watoto wa watu.
Mawasiliano kitu cha msingi sana. Na jitahidi ujue mwenzako yupoje kwenye suala la mawasiliano; mwepesi au mzito then go with the flow. Kuna watu yeye simu kwa siku mara moja imeisha, kuna wengine yaani ukiwa tu free mtafute.
Bado miaka miwili tu nitimize,nitakutafuta mkuu.Jitahidi tu usinichafue yaan iwe kazkazSina hamu na hao under 20 hata kidogo, akili zao za kitoto mnoo. Naendaga kwa wale wenye 23 hadi 28. Tofauti na hapo siendelei japo natamani nipate lidada lenye 35 hivi namimi na 29 yangu nionje utamu wa Namba C [emoji2][emoji2][emoji2]
Ni yeye ndio anatakiwa akusamehe bure, sio wewe umsamehe yeye. Hakuna cha ubize wala nini, kwenye mapenzi ya dhati.Yeah! Nakumbuka nami nishawahi acha mtu kisa yuko busy muda wote,kuwasiliana usiku ambao nami nakuwa mechoka.Lakini sasa kutokana na ubusy nilionao naamini ni kweli alikuwa busy.Alikuwa adanganyi.ANISAMEHE BURE
Kwa content ya uandishi wako, unaonekana hupendi shida za kujieleza sana, hivyo unapenda kutumia pesa kuwapata hao watoto wazuri.Kutumia pesa sana ?? Kwanini umewaza hivyo mkuu ?
hivi ikiwa imetumika sana unaweza tambua eeeeeehFala sana, mile zake chache tu. Kitu imetulia haijachoka sana. Injini safi kabisa, inafua joto la kutosha kuzungusha propellor ndio usiseme
Imagine ungekuwa huna pesa katika umri huo, ungepata mtu na kutamba kuwa uliwakula watoto wa watu?[emoji23][emoji849][emoji849]Kwa content ya uandishi wako, unaonekana hupendi shida za kujieleza sana, hivyo unapenda kutumia pesa kuwapata hao watoto wazuri.
Eeh kwa hiyo mkiongea asubuhi ndiyo imetosha? Mpigie tu hata dk 2 mjulie hali inatosha; ni kitu kidogo sana lakini reward yake utafurahi mwenyewe na roho yakoHii ya ukiwa free tu mtafute ni Changamoto sana.! Sasa ule muda mimi nataka kupumzika tena nianze kunyanyu simu kuanza kuongea na mtu ambaye asubuhi nimempigia ..! Kwanini nisipumue asee
sio kweliKama ni wamarangu anakulia timing kama kumuua kobe kaa kimachale hakikosa anachokitaka anakipeleka side B.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Eti bhana! Msela ni night to night! Tena saa 4 mbele,nilishindwa mkuuNi yeye ndio anatakiwa akusamehe bure, sio wewe umsamehe yeye. Hakuna cha ubize wala nini, kwenye mapenzi ya dhati.
Kitambi cha uzaziUmri huo, Wengi wanakua na Watoto, Vipi huyo hana..... ? Akiwa na mmoja huyu ni wa kumvumilia kwa jinsi ulivyomsifia....Zaidi Ya mtoto mmoja,Hapo ujue unajitwisha Junia la Problem..! USISEME Wana JF hawakunishauri..!
Bado miaka miwili tu nitimize,nitakutafuta mkuu.Jitahidi tu usinichafue yaan iwe kazkaz
Ni yeye ndio anatakiwa akusamehe bure, sio wewe umsamehe yeye. Hakuna cha ubize wala nini, kwenye mapenzi ya dhati.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dhaaa jamaa alijilamu kwakuaYeah! Nakumbuka nami nishawahi acha mtu kisa yuko busy muda wote,kuwasiliana usiku ambao nami nakuwa mechoka.Lakini sasa kutokana na ubusy nilionao naamini ni kweli alikuwa busy.Alikuwa adanganyi.ANISAMEHE BURE
Kwa content ya uandishi wako, unaonekana hupendi shida za kujieleza sana, hivyo unapenda kutumia pesa kuwapata hao watoto wazuri.
Eeh kwa hiyo mkiongea asubuhi ndiyo imetosha? Mpigie tu hata dk 2 mjulie hali inatosha; ni kitu kidogo sana lakini reward yake utafurahi mwenyewe na roho yako