Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

tukiwekeza nguvu izi kufanya tafiti za uchumi

hakika miaka 10 tunakua dona kantrii

Mambo ya tozoo tungeomba tukatwe kabisaaaa

Mkuu sasa hapo kwenye tafiti za kuchumi si lazima awe mwanauchumi sasa ndugu na kama wanauchumi wao hawafanyi tafiti katika sector zao sisi tuwasaidie nini sasa ngoja sisi tudeal na profession zetu mkuu tutavumbua vingi vya kutu advance ngoja wao watafti wa kiuchumi wakalale
 
kichwa cha habari tu umepoteana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…