mondichodiswala
Member
- Sep 27, 2015
- 20
- 7
hili ndio jibu la uhakika mwenye tatizoHauna tatizo mkuu,hiyo hali huwatokea wanaume sina uhakika kama ni wote iwapo atakuwa hajafanya tendo la ndoa kwa muda mrefu na ana tatizo la constipation wakati anajisaidia haja kubwa manii huwa inatoka.
Embu jaribu kukumbuka kama unatumia dawa za ugonjwa mwingine ulionao. Kuna baadhi ya dawa zinasababisha mwili kuwa na tabia za ajabu wakati mwingine. Ila ni vizuri ukapate ushauri kwa daktari.
Basi tafuta ushauri wa kitaalamu kwa daktari. AsanteApana situmii dawa
Hauna tatizo mkuu,hiyo hali huwatokea wanaume sina uhakika kama ni wote iwapo atakuwa hajafanya tendo la ndoa kwa muda mrefu na ana tatizo la constipation wakati anajisaidia haja kubwa manii huwa inatoka.
Kimaumbile huna tatizo lolote ila hiyo ni dalili kwamba hujafanya ngono kwa muda mrefu, hiyo ni hali inayoweza kumtokea mwanaume yeyote ambaye hajafanya ngono kwa muda mrefu.
Kwa kawaida mwanaume yeyote aliye na afya njema, anakula vizuri, asiyeumwa na ni mkamilifu, huwa anatengeneza/anazalisha shahawa kila siku na shahawa kwa kuwa zinazaliswha lazima zitoke. Kuna njia mbalimbali za shahawa kutoka mwilini, kuna zile njia za asili kimaumbile (natural) nazo ni 1) kufanya ngono, 2) kuota ndotoni na hiyo ya 3) shahawa kutoka zenyewe wakati unajisaidia haja kubwa. Ile isiyo ya asili kimaumbile ni ya kujichua au wengine wanaiita kupiga punyeto.
Niliwahi pata tatizo hilo nilienda kwa daktari akanambia sio ugonjwa bali ni hali inayosababishwa na kutoku sex mara kwa mara. so relax brother.
Inaelekea mtihani ulikuwa mwepesi mpaka mawazo ukayapeleka kwenye ngonoDuh hii kali ndio naisikia leo........... At least mimi nilishawahi ku..piz kwenye mtihani ....kadiri nilivyokuwa nakimbizana na muda ndivyo ngoma ilivyokuwa inapikwa ile pens down na miguu ikaloa. Serious this is a tru experience.