Ku fake maisha ni chanzo cha maumivu katika mapenzi

Ku fake maisha ni chanzo cha maumivu katika mapenzi

Sijawahi danganya nilipokutana nae ktk Yale mazingira ye mwenyewe alikua anajua hali halisi na alinipenda vilevile tulivyo
And I miss her



[emoji16][emoji16] ila kwa sasa nimwendo wa pombe plus uongo plus kuwachapa tu hakuna kuweka kambi uongo unasaidia mabaharia
 
Mnaigiza mpaka maisha yenu,,,,,, hakuna kitu Kibaya kama kutokuwa muwazi hehehehehehehehehe
 
Kudanganya huwa kuna gharama zake.
Kipindi cha miaka kadhaa iliyopita nilidanganya jina kwa mwanaume ambaye nilikutana nae.

Siku zinavoenda akanipenda, na Mimi nikawa naanza kumpenda ila tatizo sasa hata jina lenyewe analoniita nilimdanganya. Kuanza kumwambia ukweli nashindwa. Maana alivokuwa analipenda jina langu la uongo , nikaona haifai.

Nilichofanya ni kulipa gharama za kumdanganya, nikamwambia kwamba simpendi na asinitafute. Nikamblock.

Siku akaja akajua jina langu la kweli akaja niuliza Paula mbona ulinidanganya? Nikamwambia kwani sababu hauijui? Nilikudanganya kwa sababu sikukupenda.

Akaanza kuni approach upya kwa kutumia jina langu la kweli, nikamkubali haraka haraka kwa kuwa na Mimi nilikuwa nimeshaanza kumpenda, lol
Nilihisi nimetua mzigo mzito sana nilikuwa nimeubeba.
Hahahahahahahah hahahahahah doooh
 
Na kwanini ufake maisha..huo ni ujinga wa hali ya juu
 
Mnaigiza mpaka maisha yenu,,,,,, hakuna kitu Kibaya kama kutokuwa muwazi hehehehehehehehehe
Na kwanini ufake maisha..huo ni ujinga wa hali ya juu
Mapenzi yanaweza kukufanya u fake maisha ili umpate umpendae hujui mapenzi ni upofu! Mdada anataka uwe na hela ndefu,gari na nyumba kali unafikiri wa hivi utampata ukiwa huna hivyo..? Lazima utaishia kuwaona kwenye tv😂😂
 
Mapenzi yanaweza kukufanya u fake maisha ili umpate umpendae hujui mapenzi ni upofu! Mdada anataka uwe na hela ndefu,gari na nyumba kali unafikiri wa hivi utampata ukiwa huna hivyo..? Lazima utaishia kuwaona kwenye tv[emoji23][emoji23]
Ila ni vyema mdada akupende vile ulivyo ..na siyo kwa kufake maana Kuna leo na kesho mambo yanabumburuka ..huoni Kama utakua umeumiza hisia za mwenzio kwa kumdanganya..wadada tunapenda ukweli bwana ingawa siyo wote.
 
Ila ni vyema mdada akupende vile ulivyo ..na siyo kwa kufake maana Kuna leo na kesho mambo yanabumburuka ..huoni Kama utakua umeumiza hisia za mwenzio kwa kumdanganya..wadada tunapenda ukweli bwana ingawa siyo wote.
Ushauli nimeshatoa hapo juu wa kuliwa na kukimbia ndo anatakiwa afanyiwe hayo ila wa kuoa ukweli lzm uhusike.. nyie viumbe hamuaminiki mnaweza kumvumilia mtu miaka na kumbwaga sekunde tu historia inabadilika!!
 
Uongo dhambi mjue kwanza hilo halfu mkumbuke uongo haudumu

Over
 
“We una-act za kiboss, mi na-act broke.... sote tunaongopa”.


Ila asikwambie mtu, kama ni kwa matumizi ya kula tu.... uongo unalipa saaanaa.

Thank me later.
 
Mwanaume anayefake kwa mwanamke wa maisha ni mpumbavu.

Feki maisha kwa binti usye na future naye tu (wa kufunua na kufunika)

Mbona upumbavu kwa wanaume pekee, wanawake waendelee kufake hata kwenye ndoa..?
 
Ila ni vyema mdada akupende vile ulivyo ..na siyo kwa kufake maana Kuna leo na kesho mambo yanabumburuka ..huoni Kama utakua umeumiza hisia za mwenzio kwa kumdanganya..wadada tunapenda ukweli bwana ingawa siyo wote.
Lakin kuna wanaume wengine wana fake maisha in vise versa. Yan unakuta ana mkwanja tu wa kutosha, kaz, nyumba usafiri mzuri, lakin ana fake as ni mtu wa hali ya kawaida sana, anamdanganya mwanamke kuwa maisha yake n ya kawaida/ya chini,

Kwa upande wao hawa unawasemeaje? Wanafanya vizuri ili wapate wake bora au na wao huwa wanajiharibia?
 
Mkuu haujui mapenzi yanaweza kukufanya uigize maisha.. unaazima nguo kwa masela,gari,gheto ili tu umpate kimwana anaezingua.. ukienda na makinyelamumo walahi msamiati kutoswa hauta kuepuka😂😂 ku fake,fake kwa asie mume au mke fake kwa yule wa kula then mbele.
Nashukuru, sijawahi kufanya hivyo na sitawahi....
 
Back
Top Bottom