F Fundi_Mjasiriamali JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 748 Reaction score 1,340 Sep 14, 2018 #1 Habari zenu wanajamvi? Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania Bidhaa yenyewe ipo hivi Inauzwa usd 135 Ina uzito wa kg 1.5 Shipping usd 56 Nataka kujua hapo code itakatw shiling ngap pamoja na vat. Nawasilisha kmwenu wajuvi, hiyo bidhaa ni ya muhimu kwangu maana hapa bongo nimeulizia hamna.View attachment 866318View attachment 866319
Habari zenu wanajamvi? Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania Bidhaa yenyewe ipo hivi Inauzwa usd 135 Ina uzito wa kg 1.5 Shipping usd 56 Nataka kujua hapo code itakatw shiling ngap pamoja na vat. Nawasilisha kmwenu wajuvi, hiyo bidhaa ni ya muhimu kwangu maana hapa bongo nimeulizia hamna.View attachment 866318View attachment 866319
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,273 Reaction score 13,567 Sep 14, 2018 #2 Ni kitu gani hicho? Kazi yake nini? Weka link yake,tuweze kukushauri cha kufanya.
F Fundi_Mjasiriamali JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 748 Reaction score 1,340 Sep 16, 2018 Thread starter #3 Emilias G said: Ni kitu gani hicho? Kazi yake nini? Weka link yake,tuweze kukushauri cha kufanya. Click to expand... Source Hand tufting gun on m.alibaba.com Hiyo hapo mkuu ni mashine ya kufumia mazulia
Emilias G said: Ni kitu gani hicho? Kazi yake nini? Weka link yake,tuweze kukushauri cha kufanya. Click to expand... Source Hand tufting gun on m.alibaba.com Hiyo hapo mkuu ni mashine ya kufumia mazulia
Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,313 Reaction score 12,170 Sep 16, 2018 #4 Mtafute Mwl.RCT ndio biashara zake hizi.
ndaga boy mtemi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2018 Posts 588 Reaction score 208 Sep 16, 2018 #5 rtc ndio muulizie
G Gerco Senior Member Joined Sep 11, 2016 Posts 154 Reaction score 62 Sep 23, 2018 #6 mkuu agiza tu kodi inaanza kukatwa kitu cha uzito wa kuanzia 2kg na kuendelea kwa palw posta