Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,340
Habari zenu wanajamvi?
Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania
Bidhaa yenyewe ipo hivi
Inauzwa usd 135
Ina uzito wa kg 1.5
Shipping usd 56
Nataka kujua hapo code itakatw shiling ngap pamoja na vat.
Nawasilisha kmwenu wajuvi, hiyo bidhaa ni ya muhimu kwangu maana hapa bongo nimeulizia hamna.View attachment 866318View attachment 866319
Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania
Bidhaa yenyewe ipo hivi
Inauzwa usd 135
Ina uzito wa kg 1.5
Shipping usd 56
Nataka kujua hapo code itakatw shiling ngap pamoja na vat.
Nawasilisha kmwenu wajuvi, hiyo bidhaa ni ya muhimu kwangu maana hapa bongo nimeulizia hamna.View attachment 866318View attachment 866319