Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
bawasili hiyo dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaInawezekana ukawa na lactose intolerant...epuka kunywa maziwa au mazao ya maziwa
Mkuu ndio nini hikoInawezekana ukawa na lactose intolerant...epuka kunywa maziwa au mazao ya maziwa
Watu mna shali saana [emoji23][emoji23][emoji23]Mgodi unataka Mashine.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah bado nalia na kauli ya papa...huyu hatakiwi kukalia hicho kiti tena
Habari wakuu, kusema kweli nimekumbwa na tatzo la kujamba kila wakati, ila haina harufu yaani haipiti dakika 30 sijapollute, tena kwa kishindo kuna mda hadi nakosa kujiamini nikiwa kwa watu maana nilikuwa najibana bana ila imefikia wakati nimeshindwa kuna mda naweza kwnda tolet kupollute tu kisha narudi,
Hali hii ina takribani miezi miwili hadi sasa, na nimejaribu kuepuka kula vyakula vunavyonisababishia gas tumboni ila bado haisaidii.
Msaada tafadhali.