Sina uhakika sana ila nadhani hakuna kiwango maalum cha kutoa ili account yako iwezeshwe tena kufanya kazi, nafikiri inategemea umeitelekeza mda gani kwa sababu kuna makato ya kila mwezi ambayo ulitakiwa uwe unayalipia, hivyo bai, kiwango cha pesa unayotakiwa kulipia inategemea na wewe haujalipia hayo makato kwa muda gani?