Telepathy mkuuSalaam,
Neno linasema wapendanao hufanyika mwili mmoja(waefeso 5:31)
Ishara kuu ya kufanyika mwili mmoja na mpendwa wako ni kushare moment.
MIFANO
1. Wakati unataka kumjuza umemiss uwepo wake, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
2. Unataka kumpa mwaliko wa chakula, ghafla anakutafta kukujuza hilo
3. Wakati unamuwazia jambo fulani, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
4. Kuota ndoto moja.
Je, ni moment ipi umewahi share na umpendae?
Mnaota ndoto moja sio4. Kuota ndoto moja.
Bado upo nae, au shetani aliingilia kati?Telepathy mkuu
Walimchukua😀Bado upo nae, au shetani aliingilia kati?
Hutokea mkuu, vp wew umewahi share moment gan?Mnaota ndoto moja sio
Naunga mkono hoja ndugu mwenyekiti🤣🤣Mtaachana tu, jifanyeni mnapendana.....
Haha bongoo banaa hahah uchawi tyu kila mahali hahahMtaachana tu, jifanyeni mnapendana.....
Inawezekana mkuu, ikitokea shetani kajibu maombi yakoMtaachana tu, jifanyeni mnapendana.....
Wala sio uchawi, itakua anachangamsha genge tu.Haha bongoo banaa hahah uchawi tyu kila mahali hahah
Muachane tu watu tunateseka nyie hadi muda wa kuwazana mnao......Inawezekana mkuu, ikitokea shetani kajibu maombi yako
Badili gia mkuu, huenda si mtu sahihi kwako.Muachane tu watu tunateseka nyie hadi muda wa kuwazana mnao......
Dah! Pole sana mkuu bt huenda hakua rizk.Walimchukua
Upendo wa kweli haubadilishwi na nyakatiHayo mambo ya kitoto bado yapo mpaka karne hii ya 21 ambayo agenda kuu ni kuhit and run?
Siku hizi hupoi huboi🥰Telepathy mkuu
Itakua, kama sheta atajibu maombi.Mtaachana tu
😅Mnaota ndoto moja sio