- Thread starter
- #21
Uzuri wanga wa mitandaoni hawanaga madharaNaunga mkono hoja ndugu mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wanga wa mitandaoni hawanaga madharaNaunga mkono hoja ndugu mwenyekiti
Ile barua (first love letter) bado unayo? Au ilizeekea kwenye bag ya shule😅Walimchukua😀
Share momentImeshanitokea hio
🤣🤣🤣🤣🤣 we subiri uone utakavyoachwa vibaya.Uzuri wanga wa mitandaoni hawanaga madhara
Nilipoteza Ilikuwa nailinda balaa had namaliza chuo nilikuwa nayo 😀😀Ile barua (first love letter) bado unayo? Au ilizeekea kwenye bag ya shule😅
🤣🤣🤣🤣🤣 we subiri uone utakavyoachwa vibaya.
Mimi nina kadi mpaka leo zaidi ya miaka 28.Nilipoteza Ilikuwa nailinda balaa had namaliza chuo nilikuwa nayo 😀😀
Dah! Mkuu punguza kukufuru, nilimuacha binti kisa mfupi miaka kadhaa badae nimepata binti mfupi hadi hua najuta kukufuru uumbaji wa mungu.Ishanitokea sana ila kale kabinti kalikua kamkomavu mnoo na kameshupaa kama kanyenyua mizigo ,nikatoka mkuku.
Asante kwa ushauri.Dah! Mkuu punguza kukufuru, nilimuacha binti kisa mfupi miaka kadhaa badae nimepata binti mfupi hadi hua najuta kukufuru uumbaji wa mungu.
Mimi Sina wakumuotaa namwota MUNGU tukiwa mbinguni au naota namiliki bank ya Dunia 😂Salaam,
Neno linasema wapendanao hufanyika mwili mmoja(waefeso 5:31)
Ishara kuu ya kufanyika mwili mmoja na mpendwa wako ni kushare moment.
MIFANO
1. Wakati unataka kumjuza umemiss uwepo wake, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
2. Unataka kumpa mwaliko wa chakula, ghafla anakutafta kukujuza hilo
3. Wakati unamuwazia jambo fulani, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
4. Kuota ndoto moja.
Je, ni moment ipi umewahi share na umpendae?
Pamoja mkuu.Asante kwa ushauri.
Mimi Sina wakumuotaa namwota MUNGU tukiwa mbinguni au naota namiliki bank ya Dunia
Nzuri sana hiyoMimi nina kadi mpaka leo zaidi ya miaka 28.
Uzuri kadi ilitoka kwa mtu ambae baadae alikuja kuwa mke wangu wa ndoa.
Ungechukuliwa nae 😂Walimchukua😀
Unaishi na jini shutuka weweSalaam,
Neno linasema wapendanao hufanyika mwili mmoja(waefeso 5:31)
Ishara kuu ya kufanyika mwili mmoja na mpendwa wako ni kushare moment.
MIFANO
1. Wakati unataka kumjuza umemiss uwepo wake, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
2. Unataka kumpa mwaliko wa chakula, ghafla anakutafta kukujuza hilo
3. Wakati unamuwazia jambo fulani, ghafla anakutafta kukujuza jambo hilo.
4. Kuota ndoto moja.
Je, ni moment ipi umewahi share na umpendae?
😀😀😀Ungechukuliwa nae 😂
Atoto njoo kwangu tutashea vingi..🤣🤣🤣🤣🤣 we subiri uone utakavyoachwa vibaya.