Ku smile bila kupenda

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
498
Wapendwa nina shosti wangu ana tatizo sijui ni la kisaikolojia au ni vipi mie sielewi lkn ni kwamba huyu dada ana tatizo la kusmile bila hiyari yake.

Jambo hili linamkera sana maana sometimes anaweza kuwa anaelezwa jambo serious mf. Msiba lkn yeye akawa anasmile hali inayomfanya watu wamshangae.

Sometimes anatamani kuwa na uso wa userious kwa wafanyakazi wake lkn akajikuta mf. Anamgombeza mtu huku anasmile.

Sometimes wanaume wamekuwa wakidhani ana flirt nao kwa jinsi anavyotabasamu tabasamu.

............kwa mwenye ufumbuzi wa hili tafadhali tusaidiane...............


Lav u all.
 
Ndo yuko hivo, basi. Inabidi watu anaokaa nao au kufanyakazi nao wamfahamu.

Si kwamba kila anayetabasamu anakuwa kafurahi, au anayelia anakuwa kapatwa na msiba au uchungu.

yaweza kuwa kinyume chake. Watu wa namna hii yafaa kuwafahamu kwa kuingia ndani zaidi ya kile kinachoonekana kwa macho: kujua tabia yake gestures zake.

Nakumbuka nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari, mwalimu wangu mmoja alipokuwa na furaha alikuwa serious kweli.

Alipokuwa akikasirika alikuwa anatabasamu (kama huyo dada) - anaonesha uso wa 'furaha'. Tukamjua kwamba akitabasamu ujue hali ni mbaya: kaa chonjo!
 

du kweli kuishi kuona mengi,lkn bado naamini kuna ufumbuzi bwana mtu hawezi tu kuwa anasmile bila hiyari yake babuyao.
 
Tafdhali mkutanishe na Asprin waangalie namna ya kutatua hilo tatizo.

Na yeye anatafuta suluhisho. Ila ni kitu kizuri ataishi maisha marefu. Mimi natafuta dawa ya ku smile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…