Ku-survive hapa Afrika inatakiwa iwekwe kama "special skill" katika resumes zetu

Ku-survive hapa Afrika inatakiwa iwekwe kama "special skill" katika resumes zetu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Maana haujui kwa muda wowote litakalo kufika kutokana na hali duni za mikakati na system mbovu zinazokuzunguka.

Pale unapoambulia kitu cha faida hapa Afrika basi ujue wewe ni mwenye bahati kuu.

d3af80bc9068339121506980c9ead60e.jpg
 
Back
Top Bottom