Kua makini na UNACHOVUMILIA unafundisha watu jinsi kukutenda.

Kua makini na UNACHOVUMILIA unafundisha watu jinsi kukutenda.

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Tunafundishwa kua wavumilivu siku zote katika maisha yetu. Lakini kuna baadhi ya mambo ukivumilia unaonekana unawaapa watu picha namna ya kukuendesha.

Kwa ufupi sio kila jambo unatakiwa kuvumilia mengine unatakiwa kuchukua hatua ili kulinda heshima yako. Asanteni.
 
Back
Top Bottom