Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadai Isack Gamba ndio alimfungulia dunia .Sasa analitumia hilo jina kumpa heshima.Chanzo yeye mwenyewe huyo Millard a.k.a kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.Nje ya mada kidogo hivi kwanini Milard aliongeza jina la Muwenju kwenye kujitambulisha redioni?. Kila nikimsikiliza namkumbuka Izack Gamba maana ndio mtangazaji aliyekuwa na hilo jina kwa kumbukumbu zangu.
Hapo sawaAnadai Isack Gamba ndio alimfungulia dunia .Sasa analitumia hilo jina kumpa heshima.Chanzo yeye mwenyewe huyo Millard a.k.a kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.
Inategemea kwenye nini ?.Kwahiyo unamuamini kuliko Mpenzi wako?