Kua uyaone, mikoani madukani kuna kipimo cha sukari hadi ya shilingi 200, mafuta 100

Kua uyaone, mikoani madukani kuna kipimo cha sukari hadi ya shilingi 200, mafuta 100

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
tunaupiga mwingi mkuu,shida yako ni nini mkuu
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
tatizo liko wapi tunaanza kuwafundisha watoto sehemu kuanzia chekecheka,na kila mtu anapewa huduma kutokana na salio lake, hiyo ndo principle ya mchina
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
Una umri gani!?..hukuwahi ona dar sukari kwenye vipakti vidogo kama majani ya chai?..
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
Haijaanza Leo, hiyo mkuu, tangu miaka hiyo 1990+maisha ya watz ni shida Sana, kijijini kwetu, hata kununua majani ya chai ya shilingi 50,ni, shida, inabidi watu wanywe kahawa ya kutemgrnezea wenyewe, au mitishamba kama chai, sukari ndio hanasa kabisa,
 
Sema mtaani kwako hakuna lakini Dar ndo muasisi wa kila kitu Kuna mitaa ina hivyo vipimo vya mafuta na sukari za kwenye vifuko za 200 na jioni Kuna mpaka maharage yaliyopikwa ya kupimwa na zamani mpaka majani ya chai sema tu makampuni ya chai yakajiongeza yakaleta kipimo mpaka cha 100 majani ya chai.

Hiyo ndo maana halisi ya market segmentation unauza bidhaa kulingana na aina ya watu ulionao kwenye mzunguuko. Unapata mpaka nusu mkate
 
Back
Top Bottom