Kua uyaone.

Baba V kuja haraka pande hii!!! Hii habari ya jinsia moja tumewahi kuipinga hadi Judgement akapigwa ban. Hatukubaliani nayo kabisaaaa.....
 
Last edited by a moderator:
Wahenga walisema, kua uyaone. Humu jamvini hutangazwa ndoa baina ya flani na flani, lakini kumbe huwa ni ndoa za jinsia moja bila ya wenyewe kujijua. Makubwa!!!! Yaani kumbe Evelyn Salt ni DUME!!!!!!!

Na huyo Evelyn Salt kama ni kidume amekubalije kuolewa? Au nae ni jamii ya kameruni?
 
Last edited by a moderator:
Mmh naona bawabu wa JF katoa lake la moyoni....huyu ni mmoja wa wapokea wageni pengine anajua jinsia za kila mmoja.
 
Hapo sasa ndipo utakapojua kama maharage ni mboga au kiungo katika futari tehe tehe.

Kwani Slave bado hajaenda honeymoon atuambie kakutana na structure gani?
Heheeee km kakumbana na kining'inio lazma apotee
 
Last edited by a moderator:
Wahenga walisema, kua uyaone. Humu jamvini hutangazwa ndoa baina ya flani na flani, lakini kumbe huwa ni ndoa za jinsia moja bila ya wenyewe kujijua. Makubwa!!!! Yaani kumbe Evelyn Salt ni DUME!!!!!!!

ushahidi tafwadhar najua wewe mjukuu wangu hupendi kuniona nimetulia,utafanya kila kitu alimradi uniuzi. Huna tofauti na madenge wa gazeti la sani haishi kumsumbua baba yake.
 
Last edited by a moderator:
ushahidi tafwadhar najua wewe mjukuu wangu hupendi kuniona nimetulia,utafanya kila kitu alimradi uniuzi. Huna tofauti na madenge wa gazeti la sani haishi kumsumbua baba yake.

Kwani wewe humfahamu uliyemchumbia? Au ulikurupuka!?
 
Mmh naona bawabu wa JF katoa lake la moyoni....huyu ni mmoja wa wapokea wageni pengine anajua jinsia za kila mmoja.

wewe watu8 wewe weweee! Ulisema mnakagua jinsiaz ki digital digital, na wewe ndo uli nipa go ahead. Hapana utakuwa umenihujumu wewe na Globu
 
Last edited by a moderator:
Kwani Slave bado hajaenda honeymoon atuambie kakutana na structure gani?
Heheeee km kakumbana na kining'inio lazma apotee

jamani mie nitawashitaki kumsema vibaya mchumba wangu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…