Duh... Hii ni kweli au ndo zile good morning za kitaa?
Na huyo Evelyn Salt kama ni kidume amekubalije kuolewa? Au nae ni jamii ya kameruni?
Wahenga walisema, kua uyaone. Humu jamvini hutangazwa ndoa baina ya flani na flani, lakini kumbe huwa ni ndoa za jinsia moja bila ya wenyewe kujijua. Makubwa!!!! Yaani kumbe Evelyn Salt ni DUME!!!!!!!
Acheni kuharibu ndoa za watu....
Huo ni wivu kwa kike .... Sosi: utajaza mwenyewe¡¡
ushahidi tafwadhar najua wewe mjukuu wangu hupendi kuniona nimetulia,utafanya kila kitu alimradi uniuzi. Huna tofauti na madenge wa gazeti la sani haishi kumsumbua baba yake.
Sasa namsubiri Evelyn Salt aje aseme mwenyewe maana hata Slave kasema hawajafahamiana bado!
Kwani huu uchumba haujawahi hata kumtoa out? Ukamkiss na kuegemeza goti pale kati (ndio only way ya kutest ujue). Kaka angalia aisee.
wanakuja muda si mrefu...leo kazi ipo
Mkuu Slave, nadhani una access ya Jukwaa la Wakubwa. Ingia katika thread: MPAKA LIMEBAKI KONGORO 2 BADO LIMO. Nafikiri utapata ushahidi tosha. Umepanda mkenge mtu mzima mwenzangu. Tafakari.