SalaamWanajamiiforums!
Naomba kujuzwa yafuatayo kwa mujibu wa sheria ya kazi na mahusiano kazini yamwaka 2004
1.Je nikweli kwamba muajiriwa haruhusiwi kuchukua annual leave wakati akiwakwenye resignation notice period ya mwezi 1
2.Na je kwa mfano nikiwa kwenye annual leave then nikatoa resignation noticehii ni okey?
Essence ya kuuliza yote haya ni kuwa nimepata kazi nyingine sasa nataka noticenitakayotoa iwe ya mwezi but iwe less kwa kuwa nina siku 20 za likizo.Kwa maananyingine nikitoa notice ya siku 28 nataka niwe na siku 8 tu (yaani 28 za noticetoa 20 za likizo) za kuwa na mwajiri huyu kwa hiyo hizo 20 zilizobakia ntakuwalikizo i.e. so nitawahi kureport/kuanza kazi kwa mwajiri mpya!
Naomba kujuzwa yafuatayo kwa mujibu wa sheria ya kazi na mahusiano kazini yamwaka 2004
1.Je nikweli kwamba muajiriwa haruhusiwi kuchukua annual leave wakati akiwakwenye resignation notice period ya mwezi 1
2.Na je kwa mfano nikiwa kwenye annual leave then nikatoa resignation noticehii ni okey?
Essence ya kuuliza yote haya ni kuwa nimepata kazi nyingine sasa nataka noticenitakayotoa iwe ya mwezi but iwe less kwa kuwa nina siku 20 za likizo.Kwa maananyingine nikitoa notice ya siku 28 nataka niwe na siku 8 tu (yaani 28 za noticetoa 20 za likizo) za kuwa na mwajiri huyu kwa hiyo hizo 20 zilizobakia ntakuwalikizo i.e. so nitawahi kureport/kuanza kazi kwa mwajiri mpya!